Member of EVRS

Friday 10 September 2010

Sikukuu ya Idi na Kazi

Picha: Mmachinga wa huku akiwa kazini akiuza vifaa vya wapenzi wa Urastafari kama alivyo onekana mtaani leo.


Leo ni sikukuu ya Idi.
Hapa Kigali ilikuwa ni siku ya mapumziko, nasikia kwa hapa inasheherekewa kwa siku moja tu.
Tofauti niliyoiona ni kuwa ofisi za serikali, mabenki na maduka machache ndio yaiyokuwa yamefungwa.
Sehemu kubwa ya wafanya biashara walikuwa kazini kama kawaida.
Waislamu kwa hapa Rwanda ni wachache sana.
Eid Mubarak!

No comments: