Member of EVRS

Saturday 30 January 2010

Posts Alterations!

I had some problems from network provider, this made my posts to be inconsistent.

I might be out again because I am travelling. On any active spot I will surface as usual.
Sorry for this disappointment!

Keep in touch and I wish you a lovely weekend

Friday 29 January 2010

Wanaume: Tunajali Sana! (Men: We Care a Lot!)


Yaani, basi tu.......
Have a nice Friday!!

Thursday 28 January 2010

Nigeria lost to Ghana in African cup Championship Tournament


Timu ya Taifa ya Nigeria, Super Eagles imepata kipigo cha bao 1 - 0 kutoka kwa timu ya Ghana, Black Stars kwenye mchezo ambao Nigeria ilicheza vizuri zaidi kuliko Ghana.
Goli pekee la Ghana lilifungwa na Gyan kwa kichwa kufuatia mpira wa kona.

Lakini siku ya nyani kufa ..... Nigeria itabidi wajilaumu wenyewe, kama jinsi Zambia walivyojilaumu walipotolewa na Nigeria kwenye robo fainali.

Tuesday 26 January 2010

Dont Make Yourself Idiot. Think First......

Today, I remembered events which made me laughs out of anger!!

15 years ago when mobile phones were not popular in my locality I went to one of the famous telephone company to report frequent cut on my land line telephone.
I was tired to fill request forms and I had to be open on my critics.
The officer was very keen and asked me my number. I gave him with nasty look and he recorded it.

With sympathy and concern, he promised to call me when he had a technician available!!

I was looking for an imaginary hammer to fix the lost nut in his brain, that made me laugh at him. He was puzzled by my immediate change of mood. I will not say what I curse him in my brain



This also remind me back in school in one of the rainy days where our class teacher asked us to leave the classroom during the break time and locked himself in the class. I was bitter because I wanted to stay in the classroom to chew my nice bun I kept from home and read a religious book I borrowed from my neighbour at home.

After the break, we went back and found our teacher still locked himself while marking some scripts. He came to open the door for us, but he did not produce the key, and he asked us if anybody has taken the key!!!
We end up with loud whispering, it look like ..... were saying IDIOT, but I could not get it well, because I was smilling!

Monday 25 January 2010

Ethiopian Jet Crashed


Ethiopian jet bound from Beirut - Lebanon to Addis Ababa - Ethiopia crashed shortly after taking off from Beirut airport early hours of morning today.
It took around 5 minutes after taking off before plunged into Meditteranean sea about 3.5 KM from the coastal line.
Some aircraft wreckage has been seen at the site of a crash.
It is said that the aircraft had 83 passengers and 7 crews, and about 7 people have been rescued alive.
Rescue operation is still going on.
So far, no important clues for this tragedy has been reported.
Source: Al Jazeera

Friday 22 January 2010

Bujumbura at a Glance

Bujumbura, the capital city of Burundi, is rather small, cheaper and peaceful.
Ukiondoa Miji ya Tanzania na Mombasa, Bujumbura ni mji unaofuatia kwa kuongea kiswahili zaidi kuliko miji mingine mingi ya Afrika Mashariki.
Kiingereza ni nadra kukuta watu wakiongea, ila kifaransa kina mizizi zaidi, si ajabu kukutana na wafanyabiashara wanao ongea kiswahili, lakini pale unapotaka kulipa wakakutajia kiasi cha pesa za kulipa kwa kifaransa, wakishindwa kutamka kwa kiswahili hizo namba, na hasa wakijua umetoka Tz, inakuwa taabu, maana wamezoea namba zinazotamkwa ki-Congo, kama thelathini itatamkwa makumi tatu, sabini watasema makumi saba.

Mbali ya barabara za katikati ya mji kuwa safi, lakini hazina taa, utakuta milingoti ya taa imejaa, lakini yote haina taa kama baranara hii maarufu ya UPRONA ambako kuna ofisi kadhaa za ubalozi haina hata taa moja ya barabarani


Kuna majengo machache mapya, na mengine yanaendelea kujengwa.
Maisha ya Bujumbura ni nafuu kidogo ukilinganisha na Kigali - Rwanda. Kwa wastani gharama za maisha Bujumbura ni kama nusu hivi ya Kigali.
Hoteli nzuri zipo, lakini sio nyingi sana.
Niliyoipenda sana ni Lake Tanganyika Hotel (Hotel Club du Lac Tanganyika)


Ipo mwambao wa Ziwa Tanganyika, ina mandhari nzuri na pwani safi yenye mchanga mweupe. Milima ya Congo inaonekana kwa mbali kwenye ng'ambo ya pili.
Kama kawaida wapenzi wa samaki hapo tulifaidi hasa. Nilijipatia samak aitwaye Captain, sikuwahi kumuona kabla!
Ziwa Tanganyika ambalo sehemu kubwa lipo Tanzania, ni ziwa linalosifika kwa kuwa ni moja ya maziwa yenye kina kirefu duniani, pia ndio refu kuliko yote duniani likiwa na urefu wa karibu km 600, na pia linasemekana lina hifadhi maji kiasi cha wastani wa 15% (1/6)ya maji baridi (fresh water) yote duniani. Pia ndilo hasa chimbuko la mto Nile.
Pia niliduwaa kidogo kukuta matangazo ya vivutio vya Tanzania ambapo wanao utaratibu wa kuwaleta wageni kutembelea mbuga za wanyama na vivutio vingine vya Tanzania.
Wabongo mpoooo. Mpaka mtangaziwe eeeh!
Enjoy your weekend!!!



Tafakari ya Wikiendi



Wakati wa sikukuu za Krismas, mimi na familia yangu tulienda kupumzika Laki Kivu Serena Hotel. Nitatoa picha za mandhari nzuri ya huko baadaye.

Huwa mimi ni mpenzi wa kuangalia michoro au sanaa zozote kwa kuzitafakari.

Key holder hii ilinichukulia muda wangu kuitafakari, na niliweza kupata mapumziko ya fikara nyingine za kazi na uchovu kwa kukaa naitafakari hii sanamu ya huyu nyani wa milimani (mountain gorilla).

Nakupa nawe tafakari ya wikiendi.

Thursday 21 January 2010

USA: Made the Haiti Quake?!

I receive a circulating email, probably originate from one of Middle East countries claiming that the Haiti quake is a man made activities.

They accuse USA to be behind it. They further claim that this was one of the major failure in weapon testing which was intended to attack Iran!

They gave a lot of evidences regarding some previous quakes which were man-made, they further claims that those man made quakes caused serious disasters!

If you are interested in controversies read this article here

Wednesday 20 January 2010

President Obama's Shop in Burundi


On my weekend visit to Bujumbura, the capital city of Burundi I came across this .... at the busiest area in downtown. The most attractive feature was this shop's name!.
Yes, Together we can.
I ask Mr President of The United States of America to remember .... to declare this shop when contesting for the second term of presidency :-)
Have a nice wednesday with a lots of fun!

Sunday 17 January 2010

Out of Base

Sorry, no regular posts, as I am out of base. Whenever I get access I will surface out and greet you.

Saturday 16 January 2010

Violence Building up in Haiti


Despite big problem facing Haiti after quake tragedy, some youth gangs have taken this situation as an advantage to loot shops and loots. They have been seen along streets of the capitl city of Haiti carrying with them machettes and invade stores and take anything they are able to carry.
This situation may hamper humanitarian aid from different countries.
So far, more than 40,000 bodies have been buried, and over 100,000 feared dead.
People crying for help can be heard within debris of houses in different area. But little is done to help them due to scarcity of rescue equpments.
A big number of Haiti people fled to neighbouring country - Dominica.

Thursday 14 January 2010

Haiti and Quake

Kisiwa cha Haiti kimepigwa na janga kali ya tetemeko la ardhi ambalo mpaka sasa idadi ya watu waliokufa haijajulikana, lakini inakadiriwa kuwa ni zaidi ya watu 100,000.

Mawasiliano kwa njia ya simu na internet yamekatika hivyo kufanya hali kuwa mbaya zaidi kwenye masuala ya uokoaji wa watu waliokwama kwenye vifusi.



Wananchi wamekuwa wakilala nje sasa kwa siku 2, huku wakiwa na upungufu wa madawa na chakula

Hata hivyo Marekani na nchi nyingine zimetoa ahadi ya msaada wa dola zaidi ya bilioni 1 kwa ajili ya madawa, vifaa vya uokozi na kuijenga upya Haiti.
Mwaka jana Haiti ilipigwa na kimbunga cha HurricaneS na kusababisha hasara kubwa.
Picha kutoka MSNBC.COM

Tuesday 12 January 2010

World's Youngest Mother in Our Records

Photo above is Dr Geraldo Lozado, Lina Medina and her son Gerardo


Probably this is the most conflicting information....

Reality has to be reality. 5 years old peruvian child, Lina Medina was declared to the youngest mother in the world. She delivered a baby boy by caesarean section on 14 th May 1939 at Pisco Hospital. The boy was named Gerardo after the attending doctor.

Her parents noted that her tummy was increasing and thought probably was an abdominal tumour. She was sent to the doctor and was confirmed to be pregnant!

The father of Lina was jailed for short time in relation to Lina's pregnancy but was released later due to lack of evidence.
Interestingly, Lina was said to have normal and regular periods since the age of 3 years which disapper nearly 8 months before was discovered to be nearly full term pregnant.

Her ovarian biopsy taken during caesarean section was tested in

Her son Gerardo, came to realise that Lina was his mother when he was 10 years old, initially he thought Lina was his sister.

Read more here

Surprises of African Football Championship in Angola


Many surprises in African Football championship at Angola.
Two of the three matches played had produced 11 goals.
Angola could not hold 4 - 0 leading up from 80th minutes where Mali faught back and equilizes at the last 30 seconds of extra time
Algeria was beaten 3 - 0 by Malawi, which came as surprise to many people.
Ivory Coast was held at nil-nil scoring with Burkina Faso. Ivorians had a good memmory of thrashing Burkinabe 5 - 0 in qualifying stage.
We expect more surprises as predicted by Didier Drigba when he was talking to SKY Television and Deutshe Welle after they won 1 - 0 to Tanzania at a very difficult and competitive game.
I predict that the winner might come from non World Cup qualified teams. As most of the world cup qualified teams will conserve their energy for the World Cup in South Africa.

Monday 11 January 2010

Ombaomba Wanapohamishia Ofisi Kanisani!

Jana nilienda kanisani kwa ajili ya ibada. Watu waliuwa wengi kuliko siku nyingine za kawaida, achilia mbali siku za sikukuu kama krismasi na siku za pasaka ambapo ndipo watu wengine humkumbuka Mungu au labda kuja kuonekana/kujionyesha :-(

Mbali na mahubiri mazuri ya Kasisi, kulikuwa na tukio lililojitokeza kabla ya ibada, pale mlalahoi (ombaomba) mmoja alipoingia kanisani, sio kwa ajili ya ibada, bali kwa ajili ya kupiga mizinga (kuomba). Kwa mshangao watu walikuwa wakimcheka kicheko cha tumboni(kimyakimya) pale alipokuwa ananyoosha kiganja chake kuomba.

Baadaye alipotoka nje ya kanisa, kulizuka mrindimo wa minong'ono kutoka kwa watu huku wakiendelea kukenua "magego".

Kingine kilichonishangaza ni pale ibada ilipoisha, kuna baadhi ya watu walitoka nje ya kanisa na kuanza ubishi hapohapo wa ligi kuu ya mpira wa Uingereza, washabiki wa Man U walikuwa wamenuna kwa sare ya jumamosi huku wa Chelsea wakiwa na bashasha!

Sasa sijui kujazana kanisani ni kuja kusali au ni sehemu ya makutano!

Sunday 10 January 2010

This Sunday's Message

We are waiting for African Championship kick off today despite the sad event occured on Togolese national football team which was attacked by rebels in Kabinda - Angola with 3 deaths on officials and some footballers injuried.


We are very sorry to miss Togo team which decided to pull-out of competition following this event.

Saturday 9 January 2010

President Jacob Zuma Wedding's Caption


President of South Africa (With spectacles) dancing with his newly wed wife a traditional songs during his recent marriage to his 5th wife.

Currently, President Zuma has 3 wives and nearly 20 children.


Hi guys, enjoy your weekend

Thursday 7 January 2010

Dar es Salaam, My City

Dar es Salaam (Peace of Haven) is the commercial city of Tanzania.
The weather is usually warm to hot. Temperatures peaks in January - February averaging 30'c during the day.
It is one of the fast-growing city in Africa, but a lot are yet to be done.

Julius Nyerere international airport is within the city which soon will be under expansion project due to increased air traffic.

New National stadium ( Uwanja wa Taifa) is among the most beatiful stadium in Africa with a capacity of 60,000


It has beatiful beaches with white sands especially at Kigamboni area.
Whenever I land at Dar, I usually feel a tricle of happiness in my heart, however, it hot outer there.
I like the weather there in June - July because it is a bit cool, at night it may be a little chill!

Wednesday 6 January 2010

Uganda to take Measures Against Obese Police officers



The Chief police officer in Uganda is very serious on the plan to shape his police officers so that they become more pysically fit after he noticed that there are some police officers who are extremely obese and cannot work properly when the fracas arises.

They will appear to chase their own tummies rather than the criminals!!
2 years ago, Mozambique did the same to the police forces where all obese policemen were told to reduce their weight otherwise, they would have to retire from work


Ni ukweli usiofichika kwa police mwenye kitambi kumkimbiza hata kibaka, ataishia kulikimbiza tumbo lake a.k.a. kitambi chake wakati mwizi akiyoyoma.

Tuesday 5 January 2010

When it rains in Tanzania!

Most of the time when it rains..., many people take it as a blessing.
In Dar es Salaam, due to scarcity of clean tap water... at the time of downpour, many people collect water for domestic use and save water bills.
In another side.... due to poor road and wasterwater systems, when it rains, roads becomes the drainage channels Pedestrians are not spared.
In some places, when it rains, it creates temporary jobs.... new business starts.... carrying people across the water bodies for a pay averaging 20 cents of USD. Sometimes more depending on the area and how wealthy you are!! They look the way you have dressed and of course your body weight.
In rural......., it is a blessing for crops.....
But when come for transport network, it is a worst time for travelling in some areas
I came across this photos in Mitiki blog
Songea - Southern Tanzania

Manyara

Rukwa - Western Tanzania
Tanga - Northern Tanzania
Ni lini Serikali yetu itafungua macho na kurekebisha hali hii. Matumizi ya kodi kwenye mafuta, mazao, leseni za biashara nk kwa nini zisielekezwe kwenye maeneo husika kuboresha hali hii?
Photos from Mitiki and jamii forums

Rwanda: Kupitisha Sheria Kuwabana Viongozi


Sifa kuu ya kiongozi wa kiserikali hapa Rwanda, ni kuwa kuwa muadilifu.

Njia ya kuhakikisha ya kuwa wewe ni mtu safi, mara uteuliwapo au kuchaguliwa na wananchi katika bunge, ni lazima utangaze mali zako zote, na zoezi hili hufanyika kila mwaka.

Kwa sasa serikali ya Rwanda inataka kukomesha masuala ya ufisadi, kwa hiyo imetunga muswada wa sheria wa kuwabana viongozi wasiotaja mali zao ya kuwa serikali italazimika kuzitaifisha.

Muswada huo umeshafikishwa bungeni, na kama utapitishwa, mafisadi wote wa Rwanda watakumbana na kizingiti.

Ningefurahi sana kusikia siku moja watuhumiwa wa ufisadi wote Tanzania wanataja mali zao hadharani. Labda na sisi tungepungukiwa na mafisadi.
Kuiga sio ugonjwa, Tanzania inapaswa kuiga mfano huu

Sunday 3 January 2010

2010 Might be an Interesting year!

Saturday,.... I was rushing to buy some depleted stock in my house!
Just before I entered one the biggest supermarket in Kigali city, I met one the beggars who is familiar, may be I should say that he is familiar to me, ... It was very interesting to see him giving away gifts and money to children who were moving around either with their parents or caretakers.

Those who turned to be receivers, they appeared to be better dressed as compared with this gentle beggar.

I hope or I should say that this might be my prayer for this year regarding the poors... That they should stand and assume the role for them to be the givers as well, and work hard to earn their living rather than being donor dependants

Continue to enjoy the new year within the extended weekend.

Friday 1 January 2010

It's 2010!!

I am very happy to celebrate New Year 2010

THIS IS MY FIRST POST FOR 2010!!!

I hope this year will be the most enjoyable filled with successes and cheers, accompanied by peace and Love.

Let us join hands and drive safely our beloved planet away from man made hazards especially global warming.

Happy new Year!!!