Member of EVRS

Monday 25 January 2010

Ethiopian Jet Crashed


Ethiopian jet bound from Beirut - Lebanon to Addis Ababa - Ethiopia crashed shortly after taking off from Beirut airport early hours of morning today.
It took around 5 minutes after taking off before plunged into Meditteranean sea about 3.5 KM from the coastal line.
Some aircraft wreckage has been seen at the site of a crash.
It is said that the aircraft had 83 passengers and 7 crews, and about 7 people have been rescued alive.
Rescue operation is still going on.
So far, no important clues for this tragedy has been reported.
Source: Al Jazeera

3 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Poleni sana!

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) said...

Mpaka sasa hawajapata aliyesalimika na inasemekana watu wote 90 waliokuwemo wamefariki. Mungu Awapumzishe salama.

Wameanza pia kusema kwamba inawezekana rubani ndiye kasababisha ajali hii kwani hakufuata masharti aliyopewa na waendesha safari za anga.

Hii ni ajali ya tatu kubwa kwa Ethiopian Airlines - shirika ambalo linasifika kwa kuwa na ndege nzuri na huduma bora kuliko yote barani Afrika kiasi kwamba ndege zake zinaruhusiwa kutua katika nchi za Ulaya.

Ndege iliyoanguka ilitengenezwa mwaka 2002 na kwa umri wa ndege hii bado ni kama mpya.

Anonymous said...

Nakubaliana nawe Masangu, Ehiopia wamekuwa wanajitahidi kununua ndege mpya. Na zile nzee huwa wanazikodisha kwa mashirika mengine au kuziuza.
Nasikia na Tanzania tuliwahi kukodisha ndege hizo za zamani lakini ubovu ukawa kama kidonda ndugu!