Member of EVRS

Friday 25 March 2011

Will be Returned Unopened?

Britain’s oldest virgin says her longevity is thanks to her never having sex.


Clara Meadmore recently celebrated her 107th birthday and says she never bothered bumping nasties with anyone because it seemed like too much hassle.

Clara says she knew she would stay single from the age of 12 and focused on her career.

“People have asked whether I am a homosexual and the answer is no. I have just never been interested in or fancied sex,” says Clara.

“I imagine there is a lot of hassle involved. I have always been busy doing other things.

“I’ve never been bothered about relationships.

“When I was a girl you only had sex with your husband and I never married.” - Daily Voice

Source:

8 comments:

malkiory said...

Japo kuna ka chembe ka ukweli ndani yake lakini bibi zetu wengine walifikisha umri kama wake na walizaa hadi watoto 15.

Anya said...

:)
:)
:)


Thanks for the smile Chib :))
hahaha....

Have a nice weekend
enjoy ....
((hugs))

emu-three said...

Wazee wetu walikuwa na wake watano , watoto usiombe wamekaa wengine waliishi mpaka kuwa vikongwe wakutolewa nje...!
Kufanya mapenzi au kutokufanya mapenzi sio tija ya kuwa na urmi mrefu...`lishe' chakula kipi unatumia...!

Simon Kitururu said...

Huyu hakukutana na Wabongo wenye maneno mingi! Maana kunamijitu inatongoza utafikiri iliendea shule huku yote isemayo katika kubembeleza ni uongo mtupu. Nilikuwa na rafiki yangu mmoja ambaye yeye alikuwa anamchezo mpaka wa kumlilia msichana machozi kabisa!:-)


Ila anachonifurahisha ni kwamba ha-regret maamuzi!

Ni noma kweli kama ukiruka kitu na kuja kujutia mbele ya safari kuwa ulichemsha.


Kingine :
Wenzetu haya wanaweza lakini BONGO kama huna watoto na huna uhusiano kabisa unaweza kujikuta ukopekeyako na hakuna hata msaada wa serikali wa kukuwezesha kuishi kwa jinsi maisha yalivyo kibano sasa hivi.

chib said...

Kitururu :-))

Goodman Manyanya Phiri said...

Mimi nafikiri mtu ukiamua kufanya kitu kama hicho (au kutofanya IN THIS CASE) basi iwe siri yako na wajukuu wako, siyo tuambiwe sisi ulimwengu... ILA TUFANYIE NINI???

Kumradhi!!!! Nilisahau hana wajukuu huyo na sasa anatufanya sisi wengine anaewatangazia suala hili kama sisi ndiyo wajukuu wake!


Aibu!

(Sisi kwa utamaduni waKiswati (SWAZILAND AND SOUTH AFRICA) mtu anayeifariki dunia bila kuacha angalau mtoto mmoja tena kwa kusudi lake aibu kiasi kwamba maiti inachomekwa kitu fulani sehemu fulani kusudi wahakikishe asirudie tena duniani kwani tunaamini roho ya bibi au babu mara nyingi hufufuka kwa mjukuu au kijukuuu chake).

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

nakubaliana na matiya, harafu mbona watawa wa kikatoliki hawajui huu utamu wa nyeti zao lakini wanakufa fasta na mapadre wao?

harafu sisi tutajuaje ni virgin? anafikiria kutokutumia kiungo alichopewa na mungu ni baraka au laana/

lione vile! sura kama bibi yake chib

chib said...

Wee Kamala ha ha haaa, lakini bibi yangu hakuwa mchoyo kama huyu ajuza. Ndio maana leo namuita bibi