Member of EVRS

Tuesday 1 December 2009

Tallest woman in the World a..k.a. Ngongoti wa Kike


It seems... she was saying.... dont afraid ough!
Inabidi jamaa ajichekeshe chekeshe, na kutuliza mkono mfukoni kupunguza tetemeko la mwili



She is 7'4" and weighs 320 pounds.



Mnapewa onyo, kwa wale mnaopenda kutoa vi-date kwa kupitia simu au picha ya uso kwenye mtandao...... Muwe mnakwenda na dawa za kupunguza BP kabisa na tayari kwa lolote :-)

16 comments:

Faith S Hilary said...

she is so tall then she still wears high heels...dah...I got nothin further to say

Yasinta Ngonyani said...

Hata mie nilitaka kusema hivyo kwa nini anavaa viati virefu wakati yeye mwenyewe ni mrefu kutosha. Kaziii kwelikweli!!!

Fadhy Mtanga said...

Next time I won't date yeyote kwa kutazama picha ilo kipande. Mbona hapo ni kasheshe tupu!

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

love her

Mija Shija Sayi said...

Mimi nadhani kaona isiwe taabu, fasheni ya viatu virefu anaipenda na uwezo wa kuwa mfupi hana, mara nyingi watu wa namna hii huwa ni strong sana wanafanya kile roho yake inapenda na si kile watu wanachodhani ingefaa afanye.

chib said...

Labda aende kwa wataalamu wa plastic surgery kupunguza urefu wa mifupa!
Mambo yote yanawezekana au vp :-)

Anonymous said...

she is fine

williambaker said...

i thank she is so damsexy i would really like t met he in person just once to see what kind of persn she is ' and agan i thnk she is very sexy

Billy Burn said...

She's lovely, I'd like to give her a BIG hug

Anonymous said...

Shaq O'Neal himself would have to look slightly up to her, as he is 7'1".

Gyod she must be a sight to behold in real life.

Unknown said...

I'd like to have a tall kid with her...

Billy Burn said...

I just wish her happiness, health and a long lfe.

Jens said...

223,5 cm!

im 178,5cm tall. Easy access for motorboating!

samuel said...

samuelfrom uganda she is anice looking person nice to be afriend

Anonymous said...

İ just LOVE her seriously. <3 <3<3<3
ILOVEYOU

İf you want to know me reply

Anonymous said...

Dam how tall