Leo mchana, Dr Steven Ulimboka amerejea nchini akiwa buheri wa afya na nguvu kamili.
Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ghafla ulifurika watu ambao wengi wao hawakutegemea kurudi kwa Dk Ulimboka.
Katika makundi yaliyoenda kumpokea ni pamoja na jopo la madaktari wenzake na wana harakati wa haki za binadamu.
Kwa maneno machache kabisa, Dk Ulimboka amesema ya kuwa ni yeye kwa sasa ni mzima kabisa, na yupo tayari kuwajibika kwa shughuli yoyote ndani ya uwezo wake.
Nao madaktari wenzake, mbali ya kufurahia ujio wake akiwa mzima, wameendelea kusisitiza ya kuwa ni muhimu kwa serikali kuweka vifaa na madawa ya kutosha kuwahudumia wananchi hapa nchini, kwani sio wananchi wote wanaweza kupelekwa nje kwa matibabu ambayo hayapatikani nchini.
Neno langu....... sitegemei tena kuwepo na jaribio lingine la kumteka na kumjeruhi mtu huyu. Ni muhimu sana waliolitenda tukio hili wapewe stahiki yao ili kuondoa wingu la uoga na kutokuaminiana. Nina imani jamii ya madaktari na ile ya wanatuhumiwa waliotenda tukio hili wanahitaji kufanya kazi kwa ushirikiano zaidi kuliko hali ya kutokuaminiana iliyopo sasa.
Kila la heri Dk Steven Ulimboka
Showing posts with label Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Tanzania. Show all posts
Sunday, 12 August 2012
Wednesday, 9 May 2012
Wakuu wapya wa Wilaya Tanzania Bara
Ifuatayo ndio orodha ya wakuu wapya wa wilaya Tanzania Bara kama walvyiotajwa leo na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Idadi ya wakuu wa wilaya walioachwa ni 51.
Wakuu wa wilaya wapya na sehemu walizopangiwa ni:-
1. Novatus Makunga - Hai
2. Mboni M. Mgaza - Mkinga
3. Hanifa M. Selungu - Sikonge
4. Christine S. Mndeme - Hanang
5. Shaibu I. Ndemanga - Mwanga
6. Chrispin T. Meela - Rungwe
7. Dr. Nasoro Ali Hamidi - Lindi
8. Farida S. Mgomi - Masasi
9. Jeremba D. Munasa - Arumeru
10. Majid Hemed Mwanga - Lushoto
11 Mrisho Gambo - Korogwe
12. Elias C. J. Tarimo - Kilosa
13. Alfred E. Msovella - Kiteto
14. Dkt. Leticia M. Warioba - Iringa
15. Dkt. Michael Yunia Kadeghe - Mbozi
16. Mrs. Karen Yunus - Sengerema
17. Hassan E. Masala - Kilombero
18. Bituni A. Msangi - Nzega
19. Ephraem Mfingi Mmbaga - Liwale
20. Antony J. Mtaka - Mvomero
21. Herman Clement Kapufi - Same
22. Magareth Esther Malenga - Kyela
23. Chande Bakari Nalicho - Tunduru
24. Fatuma H. Toufiq - Manyoni
25. Seleman Liwowa - Kilindi
26. Josephine R. Matiro - Makete
27. Gerald J. Guninita - Kilolo
28. Senyi S. Ngaga - Mbinga
29. Mary Tesha - Ukerewe
30. Rodrick Mpogolo - Chato
31. Christopher Magala - Newala
32. Paza T. Mwamlima - Mpanda
33. Richard Mbeho - Biharamulo
34. Jacqueline Liana - Magu
35. Joshua Mirumbe - Bunda
36. Constantine J. Kanyasu - Ngara
37. Yahya E. Nawanda - Iramba
38. Ulega H. Abadallah - Kilwa
39. Paul Mzindakaya - Busega (mpya)
40. Festo Kiswaga - Nanyumbu
41. Wilman Kapenjama Ndile - Mtwara
42. Joseph Joseph Mkirikiti - Songea
43. Ponsiano Nyami - Tandahimba
44. Elibariki Immanuel Kingu - Kisarawe
45. Suleiman O. Kumchaya - Tabora
46. Dkt. Charles O. F. Mlingwa - Siha
47. Manju Msambya - Ikungi (mpya)
48. Omar S. Kwaangw’ - Kondoa
49. Venance M. Mwamoto - Kibondo
50. Benson Mpesya - Kahama
51. Daudi Felix Ntibenda - Karatu
52. Ramadhani A. Maneno - Kigoma
53. Sauda S. Mtondoo - Rufiji
54. Gulamhusein Kifu - Mbarali
55. Esterina Kilasi - Wanging’ombe (mpya)
56. Subira Mgalu - Muheza
57. Martha Umbula - Kongwa
58. Rosemary Kirigini - Meatu
59. Agness Hokororo - Ruangwa
60. Regina Chonjo - Nachingwea
61. Ahmed R. Kipozi - Bagamoyo
62. Wilson Elisha Nkhambaku - Kishapu
63. Amani K. Mwenegoha - Bukombe
64. Hafsa M. Mtasiwa - Pangani
65. Rosemary Staki Senyamule - Ileje
66. Selemani Mzee Selemani - Kwimba
67. Lt. Col. Ngemela Lubinga - Mlele (Mpya)
68. Iddi Kimanta - Nkasi
69. Muhingo Rweyemamu - Handeni
70. Lucy Mayenga - Uyui
Idadi ya wakuu wa wilaya walioachwa ni 51.
Wakuu wa wilaya wapya na sehemu walizopangiwa ni:-
1. Novatus Makunga - Hai
2. Mboni M. Mgaza - Mkinga
3. Hanifa M. Selungu - Sikonge
4. Christine S. Mndeme - Hanang
5. Shaibu I. Ndemanga - Mwanga
6. Chrispin T. Meela - Rungwe
7. Dr. Nasoro Ali Hamidi - Lindi
8. Farida S. Mgomi - Masasi
9. Jeremba D. Munasa - Arumeru
10. Majid Hemed Mwanga - Lushoto
11 Mrisho Gambo - Korogwe
12. Elias C. J. Tarimo - Kilosa
13. Alfred E. Msovella - Kiteto
14. Dkt. Leticia M. Warioba - Iringa
15. Dkt. Michael Yunia Kadeghe - Mbozi
16. Mrs. Karen Yunus - Sengerema
17. Hassan E. Masala - Kilombero
18. Bituni A. Msangi - Nzega
19. Ephraem Mfingi Mmbaga - Liwale
20. Antony J. Mtaka - Mvomero
21. Herman Clement Kapufi - Same
22. Magareth Esther Malenga - Kyela
23. Chande Bakari Nalicho - Tunduru
24. Fatuma H. Toufiq - Manyoni
25. Seleman Liwowa - Kilindi
26. Josephine R. Matiro - Makete
27. Gerald J. Guninita - Kilolo
28. Senyi S. Ngaga - Mbinga
29. Mary Tesha - Ukerewe
30. Rodrick Mpogolo - Chato
31. Christopher Magala - Newala
32. Paza T. Mwamlima - Mpanda
33. Richard Mbeho - Biharamulo
34. Jacqueline Liana - Magu
35. Joshua Mirumbe - Bunda
36. Constantine J. Kanyasu - Ngara
37. Yahya E. Nawanda - Iramba
38. Ulega H. Abadallah - Kilwa
39. Paul Mzindakaya - Busega (mpya)
40. Festo Kiswaga - Nanyumbu
41. Wilman Kapenjama Ndile - Mtwara
42. Joseph Joseph Mkirikiti - Songea
43. Ponsiano Nyami - Tandahimba
44. Elibariki Immanuel Kingu - Kisarawe
45. Suleiman O. Kumchaya - Tabora
46. Dkt. Charles O. F. Mlingwa - Siha
47. Manju Msambya - Ikungi (mpya)
48. Omar S. Kwaangw’ - Kondoa
49. Venance M. Mwamoto - Kibondo
50. Benson Mpesya - Kahama
51. Daudi Felix Ntibenda - Karatu
52. Ramadhani A. Maneno - Kigoma
53. Sauda S. Mtondoo - Rufiji
54. Gulamhusein Kifu - Mbarali
55. Esterina Kilasi - Wanging’ombe (mpya)
56. Subira Mgalu - Muheza
57. Martha Umbula - Kongwa
58. Rosemary Kirigini - Meatu
59. Agness Hokororo - Ruangwa
60. Regina Chonjo - Nachingwea
61. Ahmed R. Kipozi - Bagamoyo
62. Wilson Elisha Nkhambaku - Kishapu
63. Amani K. Mwenegoha - Bukombe
64. Hafsa M. Mtasiwa - Pangani
65. Rosemary Staki Senyamule - Ileje
66. Selemani Mzee Selemani - Kwimba
67. Lt. Col. Ngemela Lubinga - Mlele (Mpya)
68. Iddi Kimanta - Nkasi
69. Muhingo Rweyemamu - Handeni
70. Lucy Mayenga - Uyui
Sunday, 25 December 2011
Oh! It's Christmas!
![]() |
| Children enjoying the ride on Christmas day in Dar - Tanzania |
At this season, everybody express love, peace and harmony.
Children usually they enjoy most, of course the parents becomes happy to see sweet smiles from their children, they even forget that the expenditures had just surged for the preparations of the event. To be noticed when they are about to pay the school fees etc :-)
Oh my kids, I love you dearly, enjoy the Christmas, as we are celebrating the birth of the holy child.
Monday, 5 December 2011
Mwaliko: Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara Jijini Kigali, Rwanda
Umoja wa Watanzania wanaoishi Rwanda unapenda kuwaalika watu wote katika hafla ya chakula na dansi katika kusheherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara (Tanganyika).
Sherehe hizi zitafanyika tarehe 9.12.2011 jijini Kigali. Siku kama hiyo miaka 50 iliyopita ndipo Tanganyika ilipopata uhuru kutoka kwa wakoloni wa Kiingereza.
Mbali ya chakula (Chenye asili ya Kitanzania) na dansi, kutakuwa na maelezo mafupi ya historia ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao ndio uliozaa jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Watu wote mnakaribishwa kwa kiingilio kidogo cha faranga za Rwanda 8,000 tu.
Mawasiliano kwa waratibu yameandikwa kwenye kadi za mwaliko.
KARIBUNI SANA!
Monday, 21 November 2011
Ugonjwa wa Katiba Mpya Tanzania:Unatibiwa kwa Kidonge cha Rangi Mbili
Siku chache zimepita baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kuridhia muswada wa sheria utakaongoza na kuratibu jinsi ya kukusanya maoni ya katiba mpya. Japo wabunge wa Upinzani kwa idadi kubwa waliususia kabisa kwa kile kinachodaiwa kuletwa na kusomwa huku vipengele kadhaa vya sheria vikiwa vimevunjwa.
Muswada ndio umeshapita, na rais Kikwete alithibitisha pale alipokuwa akiongea na "wazee wa Darisalama" japo kuna wengine hata mimi nilikuwa nawazidi umri japo sina sifa kamili ya kuitwa Mzee, nao walikuwa humo ati kama wazee! Mhesh. Rais aliahidi kuuwekea sahihi muswada uliopitishwa na wabunge (ambao kwa karibu asilimia 80 ya michango yao walikuwa nje kabisa ya muswada wenyewe), ili uwe sheria rasmi na kuanza kutumika mara moja.
Pia aliwaagiza wabunge wa CCM mara alipokutana nao baada ya kikao cha bunge kilichoupitisha muswada huo kuwahi majimboni kwenda kueleza ujio wa neema na kiu ya katiba mpya kwa wananchi wanaowawakilisha.
Hali hii ilichafuliwa na taarifa ya kamati teule ya bunge iliyoundwa kumchunguza David Jairo (ama vijana wanavyomuita DJ) kuwasilisha taarifa yao ambayo ilikuwa inachafua maana ya maadili ya kiuongozi. Kuna mapendekezo mengi tu yalitolewa ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikijumuisha wote waliotajwa kwa makosa ikiwa ni pamoja na waziri Ngeleja akidaiwa alipewa takrima ya sh. 4M ambazo ni kinyume na matumizi ya fedha za uma.
Nahisi wabunge wengi wa CCM watakuwa na wakati mgumu kwenda kuiuza rasimu ya katiba itakayokuja, na mijadala itahamia kwenye pengo la uadilifu lililo onyeshwa na baadhi ya watendaji wa serikali tawala na kuwa kigezo cha kukataa vifungu vitakavyoletwa.
Kuna viashiria ambata kwa sasa kuwa mwaka 2015 utakuwa mgumu sana kwa serikali iliyopo madarakani kukubalika, labda kama kutakuwa na kipengele cha kuchomeka serikali ya umoja wa kitaifa au yaje mabadiliko makubwa sana yatakayofanyika sasa kubadili fikra za watu wanaotaka mabadiliko ya kisiasa kwa mazuri au la, yaani, people they just want a change...
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba katibu mkuu kiongozi anatarajiwa kustaafu mwishoni mwa mwezi ujao mwaka huu, labda itakuwa ni fursa ya kuachia ngazi bila kupoteza haki zake za muda aliolitumikia Taifa, kwa wale mtakaotaka kusema muda Taifa lililomtumikia ni nyie, na wala sio mimi.
Watendaji wengine wa wizara ya nishati na madini inasemekana wameanza kujiandaa kukaa benchi, na pia mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali naye inawezekana hajui nini kitafuata hasa baada ya kumsafisha DJ na baadaye kuonekana kama taarifa yake aliiandikia kwenye kituo cha daladala bila kupitia hesabu kamili ili kubaini kasoro. Pia kuna wingu la shaka kwa sasa liko juu yake kuhusu utendaji wake wa kazi, japo anasifika kwa umakini wa kwenye hesabu za halmashauri za miji na wilaya.
Tunachosubiri ni Kitendawili au bomu?!!
Muswada ndio umeshapita, na rais Kikwete alithibitisha pale alipokuwa akiongea na "wazee wa Darisalama" japo kuna wengine hata mimi nilikuwa nawazidi umri japo sina sifa kamili ya kuitwa Mzee, nao walikuwa humo ati kama wazee! Mhesh. Rais aliahidi kuuwekea sahihi muswada uliopitishwa na wabunge (ambao kwa karibu asilimia 80 ya michango yao walikuwa nje kabisa ya muswada wenyewe), ili uwe sheria rasmi na kuanza kutumika mara moja.
Pia aliwaagiza wabunge wa CCM mara alipokutana nao baada ya kikao cha bunge kilichoupitisha muswada huo kuwahi majimboni kwenda kueleza ujio wa neema na kiu ya katiba mpya kwa wananchi wanaowawakilisha.
Hali hii ilichafuliwa na taarifa ya kamati teule ya bunge iliyoundwa kumchunguza David Jairo (ama vijana wanavyomuita DJ) kuwasilisha taarifa yao ambayo ilikuwa inachafua maana ya maadili ya kiuongozi. Kuna mapendekezo mengi tu yalitolewa ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikijumuisha wote waliotajwa kwa makosa ikiwa ni pamoja na waziri Ngeleja akidaiwa alipewa takrima ya sh. 4M ambazo ni kinyume na matumizi ya fedha za uma.
Nahisi wabunge wengi wa CCM watakuwa na wakati mgumu kwenda kuiuza rasimu ya katiba itakayokuja, na mijadala itahamia kwenye pengo la uadilifu lililo onyeshwa na baadhi ya watendaji wa serikali tawala na kuwa kigezo cha kukataa vifungu vitakavyoletwa.
Kuna viashiria ambata kwa sasa kuwa mwaka 2015 utakuwa mgumu sana kwa serikali iliyopo madarakani kukubalika, labda kama kutakuwa na kipengele cha kuchomeka serikali ya umoja wa kitaifa au yaje mabadiliko makubwa sana yatakayofanyika sasa kubadili fikra za watu wanaotaka mabadiliko ya kisiasa kwa mazuri au la, yaani, people they just want a change...
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba katibu mkuu kiongozi anatarajiwa kustaafu mwishoni mwa mwezi ujao mwaka huu, labda itakuwa ni fursa ya kuachia ngazi bila kupoteza haki zake za muda aliolitumikia Taifa, kwa wale mtakaotaka kusema muda Taifa lililomtumikia ni nyie, na wala sio mimi.
Watendaji wengine wa wizara ya nishati na madini inasemekana wameanza kujiandaa kukaa benchi, na pia mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali naye inawezekana hajui nini kitafuata hasa baada ya kumsafisha DJ na baadaye kuonekana kama taarifa yake aliiandikia kwenye kituo cha daladala bila kupitia hesabu kamili ili kubaini kasoro. Pia kuna wingu la shaka kwa sasa liko juu yake kuhusu utendaji wake wa kazi, japo anasifika kwa umakini wa kwenye hesabu za halmashauri za miji na wilaya.
Tunachosubiri ni Kitendawili au bomu?!!
Thursday, 15 September 2011
Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa Tanzania Bara Septemba 2011
Ifuatayo ni orodha ya wakuu wapya wa mikoa, na kituo walichotoka
1. Bw. Saidi Mecki Sadiki DAR ES SALAAM Kutoka RC - Lindi
2. Bw. John Gabriel Tupa MARA Kutoka DC - Dodoma
3. Bw. Saidi Thabit Mwambungu RUVUMA Kutoka DC - Morogoro
4. Kanali Joseph Simbakalia MTWARA Kutoka RC Kigoma
5. Bi. Chiku S. Gallawa TANGA Kutoka DC - Temeke
6. Bw. Abbas Kandoro MBEYA Kutoka RC Mwanza
7. Bw. Leonidas T. Gama KILIMANJAROKutoka DC – Ilala
8. Dkt. Parseko Ole Kone SINGIDA Kutoka RC Singida
9. Eng. Stella Manyanya RUKWA Kutoka Mbunge Viti Maalum
10. Bibi Christine Ishengoma IRINGA Kutoka RC Ruvuma
11. Dk. Rehema Nchimbi DODOMA Kutoka DC - Newala
12. Bw. Elaston John Mbwillo MANYARA Kutoka DC – Mtwara
13. Col. Fabian I. Massawe KAGERA Kutoka DC - Karagwe
14. Bibi. Mwantumu Mahiza PWANI Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu
15. Bibi. Fatma A. Mwassa TABORA Kutoka DC - Mvomero
16. Bw. Ali Nassoro Rufunga LINDI Kutoka DC - Manyoni
17. Eng. Ernest Welle Ndikillo MWANZA Kutoka DC - Kilombero
18. Lt. Col. Issa Machibya KIGOMA Kutoka RC Morogoro
19. Bw. Magesa S. Mulongo ARUSHA Kutoka DC - Bagamoyo
20. Bw. Joel Nkaya Bendera MOROGORO Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu
21. Bw. Ludovick Mwananzila SHINYANGA Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu
Waliostaafu ni
Bw. Mohammed Babu, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera;
Bw. Isidore Shirima aliyekuwa Arusha;
Kanali (mst.) Anatory Tarimo aliyekuwa Mtwara;
Bw. John Mwakipesile, aliyekuwa Mbeya.
Kanali Enos Mfuru aliyekuwa Mara;
Brig. Jen. Dk. Johanes Balele aliyekuwa Shinyanga;
Meja Jen. Mst. Said S. Kalembo aliyekuwa Tanga.
Wakuu wa Mikoa wanne waliostaafu ambao watapangiwa vituo vingine vya kazi ni
Bibi Amina Mrisho aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani;
Dk. James Msekela aliyekuwa Dodoma;
Bw. Abeid Mwinyimusa aliyekuwa Tabora
Bw. Daniel Ole Njoolay aliyekuwa Rukwa.
Taarifa kutoka blogu ya Ikulu-Tanzania
1. Bw. Saidi Mecki Sadiki DAR ES SALAAM Kutoka RC - Lindi
2. Bw. John Gabriel Tupa MARA Kutoka DC - Dodoma
3. Bw. Saidi Thabit Mwambungu RUVUMA Kutoka DC - Morogoro
4. Kanali Joseph Simbakalia MTWARA Kutoka RC Kigoma
5. Bi. Chiku S. Gallawa TANGA Kutoka DC - Temeke
6. Bw. Abbas Kandoro MBEYA Kutoka RC Mwanza
7. Bw. Leonidas T. Gama KILIMANJAROKutoka DC – Ilala
8. Dkt. Parseko Ole Kone SINGIDA Kutoka RC Singida
9. Eng. Stella Manyanya RUKWA Kutoka Mbunge Viti Maalum
10. Bibi Christine Ishengoma IRINGA Kutoka RC Ruvuma
11. Dk. Rehema Nchimbi DODOMA Kutoka DC - Newala
12. Bw. Elaston John Mbwillo MANYARA Kutoka DC – Mtwara
13. Col. Fabian I. Massawe KAGERA Kutoka DC - Karagwe
14. Bibi. Mwantumu Mahiza PWANI Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu
15. Bibi. Fatma A. Mwassa TABORA Kutoka DC - Mvomero
16. Bw. Ali Nassoro Rufunga LINDI Kutoka DC - Manyoni
17. Eng. Ernest Welle Ndikillo MWANZA Kutoka DC - Kilombero
18. Lt. Col. Issa Machibya KIGOMA Kutoka RC Morogoro
19. Bw. Magesa S. Mulongo ARUSHA Kutoka DC - Bagamoyo
20. Bw. Joel Nkaya Bendera MOROGORO Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu
21. Bw. Ludovick Mwananzila SHINYANGA Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu
Waliostaafu ni
Bw. Mohammed Babu, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera;
Bw. Isidore Shirima aliyekuwa Arusha;
Kanali (mst.) Anatory Tarimo aliyekuwa Mtwara;
Bw. John Mwakipesile, aliyekuwa Mbeya.
Kanali Enos Mfuru aliyekuwa Mara;
Brig. Jen. Dk. Johanes Balele aliyekuwa Shinyanga;
Meja Jen. Mst. Said S. Kalembo aliyekuwa Tanga.
Wakuu wa Mikoa wanne waliostaafu ambao watapangiwa vituo vingine vya kazi ni
Bibi Amina Mrisho aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani;
Dk. James Msekela aliyekuwa Dodoma;
Bw. Abeid Mwinyimusa aliyekuwa Tabora
Bw. Daniel Ole Njoolay aliyekuwa Rukwa.
Taarifa kutoka blogu ya Ikulu-Tanzania
Monday, 5 July 2010
Polisi wa Tanzania Wajilipua na Kufa....Kulikoni?!!!!!
Hivi karibuni kumekuwa na matukio kadhaa ya polisi wa Tanzania kujiua kwa kujipiga risasi!
Matukio matatu Yamekwisha ripotiwa kwa siku za hivi karibuni, Kwa kuanzia huko Kigoma, wikiendi tukasikia mwingine huko Dar es Salaam, ambaye aliacha ujumbe kwenye kitabu cha taarifa za kipolisi kwamba mtu yeyote asisumbuliwe kwa maamuzi yake hayo, na inasemekana aliwapigia simu baadhi ya jamaa zake kuwaaga kabla ya kuzima simu na kujilipua kichwani..... na leo tumesikia huko mkoani Mara kwa polisi mwingine kujilipua na bunduki ikidaiwa alifanya kitendo hicho baada ya kunyakua bunduki kwenye kituo cha polisi alipokuwa amewekwa kwa mahojiano, na alifanikiwa kukimbilia ofisi ya kamanda wake na kujifungia.
Mkuu wa polisi Tanzania, Saidi Mwema, alisema baadaye ilisikika milio ya risasi kutoka katika ofisi askari huyo alipokuwa amejifungia, na baadaye alikutwa si yeye tena!
Chanzo cha askari huyo kuhojiwa, inadaiwa kwamba aliuelekeza vibaya msafara wa Rais Kikwete, na kusababisha msafara huo kugawanyika.
Bado natafakari kwa sauti... Kuna tatizo gani katika jeshi letu la polisi?
Mafunzo ya ujasiri na kukabiliana na vikwazo kweli wanapata hawa walinda usalama wetu?
Je, mazingira ya kazi yanawachanganya mpaka wanafikia uamuzi mbaya kwa muda mfupi sana tu!
Nafikiri jeshi la polisi lisipuuzie matukio kama haya, linapaswa kujichunguza kwanza katika sekta zote zikiwa pamoja na utawala, maadili, mishahara, haki za polisi, sifa za mtu kujiunga na jeshi la polisi na wakufunzi wa mafunzo ya upolisi.
Matukio matatu Yamekwisha ripotiwa kwa siku za hivi karibuni, Kwa kuanzia huko Kigoma, wikiendi tukasikia mwingine huko Dar es Salaam, ambaye aliacha ujumbe kwenye kitabu cha taarifa za kipolisi kwamba mtu yeyote asisumbuliwe kwa maamuzi yake hayo, na inasemekana aliwapigia simu baadhi ya jamaa zake kuwaaga kabla ya kuzima simu na kujilipua kichwani..... na leo tumesikia huko mkoani Mara kwa polisi mwingine kujilipua na bunduki ikidaiwa alifanya kitendo hicho baada ya kunyakua bunduki kwenye kituo cha polisi alipokuwa amewekwa kwa mahojiano, na alifanikiwa kukimbilia ofisi ya kamanda wake na kujifungia.
Mkuu wa polisi Tanzania, Saidi Mwema, alisema baadaye ilisikika milio ya risasi kutoka katika ofisi askari huyo alipokuwa amejifungia, na baadaye alikutwa si yeye tena!
Chanzo cha askari huyo kuhojiwa, inadaiwa kwamba aliuelekeza vibaya msafara wa Rais Kikwete, na kusababisha msafara huo kugawanyika.
Bado natafakari kwa sauti... Kuna tatizo gani katika jeshi letu la polisi?
Mafunzo ya ujasiri na kukabiliana na vikwazo kweli wanapata hawa walinda usalama wetu?
Je, mazingira ya kazi yanawachanganya mpaka wanafikia uamuzi mbaya kwa muda mfupi sana tu!
Nafikiri jeshi la polisi lisipuuzie matukio kama haya, linapaswa kujichunguza kwanza katika sekta zote zikiwa pamoja na utawala, maadili, mishahara, haki za polisi, sifa za mtu kujiunga na jeshi la polisi na wakufunzi wa mafunzo ya upolisi.
Tuesday, 25 May 2010
Umoja Wa Watanzania Wanaoishi Rwanda: UTARWA wapata Viongozi
Takribani wiki 2 zilizopita, Watanzania waishio Rwanda tumeweza kufanikisha kuunda umoja wetu ambao unajulikana kwa kifupi kama UTARWA.
Jumuiya hii iko chini ya ulezi wa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda. Jumuiya hii au umoja huu uko mbioni kusajiliwa na una madhumuni makuu ya kuwakutanisha Watanzania waishio Rwanda, na pia kupeana taarifa na kusaidiana pindi Mwanachama anapopata tatizo lolote.
Zoezi la kuandikisha wanachama likiendelea kabla ya kuanza mkutano

Wajumbe wakipitia rasimu ya katiba ya jumuiya kabla ya kuifanyia marekebisho ya mwisho na kuipitisha
Wajumbe wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mhe Balozi wa Tanzania nchini Rwanda Dr Matiko Chacha Marwa ambayo aliitoa baada ya kupata viongozi wa Jumuiya.
Jumuiya hii iko chini ya ulezi wa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda. Jumuiya hii au umoja huu uko mbioni kusajiliwa na una madhumuni makuu ya kuwakutanisha Watanzania waishio Rwanda, na pia kupeana taarifa na kusaidiana pindi Mwanachama anapopata tatizo lolote.
Wajumbe wakipitia rasimu ya katiba ya jumuiya kabla ya kuifanyia marekebisho ya mwisho na kuipitisha
Katika mambo aliyoyasisitiza ni kuwasihi Watanzania kuchangamkia fursa ya kufanya biashara Rwanda ambako kuna soko kubwa la bidhaa za Tanzania kwani zina viwango vya ubora wa hali ya juu kuliko bidhaa nyingi hapa.
Balozi Marwa Alitoa ushauri kwa watu wajihamasishe na kusambaza taarifa za kuja Rwanda kufanya biashara, na pia alisisitiza ya kuwa Serikali ya Rwanda imefungua milango kwa wanajumuiya ya Afrika Mashariki kuingia Rwanda na kufanya shughuli halali bila kulipia viza.
Sunday, 23 May 2010
Eritrea Women Football Team: German trip Was Helpful!!!
National football team for Eritrea (Women) had a shocking 8 – 1 defeat from their Tanzanians opponents.
This game was played in Dar es Salaam today.
The game was almost one sided, but at least Eritrea manage to get their lone goal during the injury time of the second half.
It should be remembered that Eritrean team was in Germany for about a month where they went there for training as preparations for this game. Probably this training had helped them at least to reduce the number of goals, otherwise they could have been beaten heavily.
The return leg will be held in Asmara two weeks from now by which Eritrea will have to score 7 – 0 if they want to qualify for the finals of African Women Football Championship in South Africa shortly after the world cup this year.
My advice to Eritrea, probably they should go to Italy now to learn how to defend their goal! :-(
Twiga Star Hoyeeee!
This game was played in Dar es Salaam today.
The game was almost one sided, but at least Eritrea manage to get their lone goal during the injury time of the second half.
It should be remembered that Eritrean team was in Germany for about a month where they went there for training as preparations for this game. Probably this training had helped them at least to reduce the number of goals, otherwise they could have been beaten heavily.
The return leg will be held in Asmara two weeks from now by which Eritrea will have to score 7 – 0 if they want to qualify for the finals of African Women Football Championship in South Africa shortly after the world cup this year.
My advice to Eritrea, probably they should go to Italy now to learn how to defend their goal! :-(
Twiga Star Hoyeeee!
Wednesday, 9 December 2009
Tanzania Today Marks 48 Years of Independence

The current Tanzanian flag
FLAG HISTORY
The flag below was adapted on 4th May 1891, and used up to 1919 when Germany lost battle in the world war I

The flag below is thought that it was proposed specific for East Africa Germany colonies, but never used

There is uncertainity of British colonial flag for Tanganyika between 1919 - 1961
Subscribe to:
Posts (Atom)







