Member of EVRS

Thursday 15 September 2011

Mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa Tanzania Bara Septemba 2011

Ifuatayo ni orodha ya wakuu wapya wa mikoa, na kituo walichotoka

1. Bw. Saidi Mecki Sadiki DAR ES SALAAM  Kutoka RC - Lindi

2. Bw. John Gabriel Tupa MARA Kutoka DC - Dodoma

3. Bw. Saidi Thabit Mwambungu RUVUMA Kutoka DC - Morogoro

4. Kanali Joseph Simbakalia MTWARA Kutoka RC Kigoma

5. Bi. Chiku S. Gallawa TANGA Kutoka DC - Temeke

6. Bw. Abbas Kandoro MBEYA Kutoka RC Mwanza

7. Bw. Leonidas T. Gama KILIMANJAROKutoka  DC – Ilala

8. Dkt. Parseko Ole Kone SINGIDA Kutoka RC Singida

9. Eng. Stella Manyanya RUKWA Kutoka Mbunge Viti Maalum

10. Bibi Christine Ishengoma IRINGA Kutoka RC Ruvuma

11. Dk. Rehema Nchimbi DODOMA Kutoka DC - Newala

12. Bw. Elaston John Mbwillo MANYARA Kutoka DC – Mtwara

13. Col. Fabian I. Massawe KAGERA Kutoka DC - Karagwe

14. Bibi. Mwantumu Mahiza PWANI Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu

15. Bibi. Fatma A. Mwassa TABORA Kutoka DC - Mvomero

16. Bw. Ali Nassoro Rufunga LINDI Kutoka DC - Manyoni

17. Eng. Ernest Welle Ndikillo MWANZA Kutoka DC - Kilombero

18. Lt. Col. Issa Machibya KIGOMA Kutoka RC Morogoro

19. Bw. Magesa S. Mulongo ARUSHA Kutoka  DC - Bagamoyo

20. Bw. Joel Nkaya Bendera MOROGORO Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu

21. Bw. Ludovick Mwananzila SHINYANGA Kutoka Mbunge/Naibu Waziri Mstaafu


Waliostaafu ni
Bw. Mohammed Babu, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera;
Bw. Isidore Shirima aliyekuwa Arusha;
Kanali (mst.) Anatory Tarimo aliyekuwa Mtwara;
Bw. John Mwakipesile, aliyekuwa Mbeya.
Kanali Enos Mfuru aliyekuwa Mara;
Brig. Jen. Dk. Johanes Balele aliyekuwa Shinyanga;
Meja Jen. Mst. Said S. Kalembo aliyekuwa Tanga.
Wakuu wa Mikoa wanne waliostaafu ambao watapangiwa vituo vingine vya kazi ni
Bibi Amina Mrisho aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani;
Dk. James Msekela aliyekuwa Dodoma;
Bw. Abeid Mwinyimusa aliyekuwa Tabora
Bw. Daniel Ole Njoolay aliyekuwa Rukwa.

Taarifa kutoka blogu ya Ikulu-Tanzania

2 comments:

Simon Kitururu said...

Mmmh!

Anonymous said...

Wakuu wapya wa mikoa sasa chapa kazi Rais katimizab wajibu wake. Mwantumu hongera, na kama kawa ulivyo fanya MoEVT, Wakizembea wapashe. By Makenji