Member of EVRS

Tuesday 13 September 2011

Miss Universe 2011 is Miss Angola

Katika mashindano ya kumtafuta mrembo wa... hata sijui niiteje kwa kiswahili, yaliyofanyika Sao Paulo, nchini Brazil masaa machache yaliyopita, Mrembo kutoka Angola, Lopes, mwenye asili ya Cape Verde, amefanikiwa kushinda mashindano hayo kwa mwaka huu na hivyo kuwa miss Universe 2011.

After being crowned as Miss Universe 2011

She could not believe her ears!


When she was announced among the top 16. On her right background, is Tanzanian model
 
Top 10
 Kwa habari zaidi just click here

1 comment:

Anya said...

Congratulations to miss Angola :-)

:-)


Have a nice week
hugs :)