Member of EVRS

Wednesday 6 January 2010

Uganda to take Measures Against Obese Police officers



The Chief police officer in Uganda is very serious on the plan to shape his police officers so that they become more pysically fit after he noticed that there are some police officers who are extremely obese and cannot work properly when the fracas arises.

They will appear to chase their own tummies rather than the criminals!!
2 years ago, Mozambique did the same to the police forces where all obese policemen were told to reduce their weight otherwise, they would have to retire from work


Ni ukweli usiofichika kwa police mwenye kitambi kumkimbiza hata kibaka, ataishia kulikimbiza tumbo lake a.k.a. kitambi chake wakati mwizi akiyoyoma.

3 comments:

Dede said...

Would have to agree, if they can't do the job, time to move on.

(((HUGS)))

Anonymous said...

It is pity, umh!!

nyahbingi worrior. said...

Habari mkuu,sidhani kama kitambi kinaweza kuwa sababu kubwa ya polisi kuchindwa kutekeleza majukumu yake.

kwa mfano,wengi walidai mtu mfupi hawezi kucheza mpira wa miguu au kikapu lakini tumeona wachezaji wengi wafupi wakifanya mambo makubwa katika fani zao.

kinachohitajika ni utaalamu tu.