Member of EVRS

Wednesday 2 September 2009

Journey across river ruvuma - Hatari hii


Wazo!!


Kamba ya katani - Sisal rope



Preparation in progress. Three boats joined together ready to ferry cars across river Ruvuma between Mozambique and Tanzania.
Miti tu inatosha kuunganisha boti, pamoja na kamba za katani


Car inlet and outlet




Tayari gari imeshapandishwa









Phew!







Well done guys!



Haya ndio matatizo ya kuvuka mto Ruvuma sehemu ya Mtwara ambapo daraja sijui limehama au...... Vijana wanajipatia hadi dola 1000 kwa siku kwa kuvusha watu na mizigo kwa kutumia mitumbwi. Masula ni mapatano, ukiwa mzungu wanaanzia dola 500 kuvusha gari, lakini ukipiga pepe pepe wanashuka.



soma hapa for more info

7 comments:

Simon Kitururu said...

Huu mto nasikia unamchezo wa kuhamahama!

Unaweza ukashangaa!Labda jamaa aliyevushiwa gari hiyo ndio adivencha atakayo ikumbuka maishani mwake mwote.Na ni kitu ambacho anakihusianisha na kitu bomba na wala sio usumbufu.

Nakumbuka rafiki yangu mmoja alikuwa na mchezo wakutafuta njia mbaya makusudi wakati wa mvua ili ainjoi kutumia Four Wheel drive kitu ambacho maulaya akaako anashindwa kufanya. Basi akikwama unaweza ukafikiri anapata taabu au usumbufu kumbe mwenyewe ndio alichokuwa analenga na anainjoi kutumia kila njia kujikwamua na zitapigwa picha elfu hapo.

Lakini kwenye hilo gari na hayo maboti hunikalishi wakati gari linavushwa.:-)

Thom said...

Where are the immigration officers?!!

Fadhy Mtanga said...

Duh,
Bonge la adivencha,
Kwa namna isiyoficha.

Dah,
Bonge la denja,
Hata ngumi ukinikunja.

Sipandi hata siku moja,
Bora lingekuwepo daraja.

Yasinta Ngonyani said...

kwa hiari yangu sipandi kabisa labda wanifunge kamba. maaana kuna mamba humo. kazi kwelikweli.

Ivo Serenthà said...

Fortunately, there is the ability and imagination of man, otherwise the Jeep would do much to bridge the river trip.

Hello Chib, beautiful photos of your Africa

Marlow

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa said...

safi sana, life seems very better thea

Faith S Hilary said...

Hehehehe duh!!! Mi ningeshazimia if I was in the car. Seriously!!