Member of EVRS

Saturday 5 May 2012

Tanzania: Baraza Jipya la Mawaziri, May 2012

MAWAZIRI
1. OFISI YA RAIS

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira  
   
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika  
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani  
  
2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO) 
   Ndugu Samia H. Suluhu  
     
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa  
  
3. OFISI YA WAZIRI MKUU  
  
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu 
   
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia  
  
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi  
  
4. WIZARA 
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta
   
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha  
   
Waziri wa Ujenzi  
Dr. John P. Magufuli 
  
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi 
   
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi 
Dr. Shukuru J. Kawambwa 
   
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto  
Ndugu Sophia M. Simba  
  
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe  
   
Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Mathias M. Chikawe  
  
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi  
   
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David 
   
Waziri wa Kazi na Ajira
Ndugu Gaudentia M. Kabaka 
   
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof. Makame M. Mbarawa 
    
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof. Anna K. Tibaijuka  
 
Waziri wa Maji 
Prof. Jumanne Maghembe 
  
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum 
Prof. Mark Mwandosya  
   
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza  
   
Waziri wa Uchukuzi
Dr. Harrison Mwakyembe  
    
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara 
       
Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Khamis Kagasheki 
  
Waziri wa Viwanda na Biashara
Dr. Abdallah O. Kigoda 
  
Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa 
  
Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo  
  
5. MANAIBU WAZIRI
I. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
  
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga  

II. OFISI YA WAZIRI MKUU

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa
   
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Aggrey Mwanry 
  
III. WIZARA MBALIMBALI 
  
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira
Dr. Makongoro M. Mahanga 
   
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndugu Adam Malima  
   
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Pereira A. Silima  
   
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
Ndugu Gregory G. Teu  
   
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro
  
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Mahadhi J. Maalim  
   
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye  
  
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Ummy A. Mwalimu 
   
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ndugu Philipo A. Mulugo
  
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dr. Abdulla Juma Abdulla  
  
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Lazaro Nyalandu  
   
Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu Gerson Lwenge  
    
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid  
    
Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Ndugu George Simbachawene  
    
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Ndugu January Makamba   
   
Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba  
   
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Ndugu Amos Makala 
  
Naibu Waziri wa Maji
Eng. Dr. Binilith Mahenge 
 
Naibu Waziri Nishati na Madini
Ndugu Stephen Maselle 
 
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Angela Jasmine Kairuki  
  
Naibu Waziri wa Fedha  
Ndugu Janet Mbene 
 
Naibu Waziri wa Fedha
Ndugu Saada Mkuya Salum 

No comments: