Member of EVRS

Tuesday 13 October 2009

Hotuba Za Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere

Kwa wale wapenzi wa hotuba za Baba wa Taifa, blogu ya Subi imetoa hotuba hizo, waweza kuzipata kama utatembelea blog yake hapa.

Tusisahau kwamba kesho ndio kumbukumbu ya miaka 10 tangu atutoke, lakini busara zake bado zipo miongoni mwetu.

Tunawatakia kila la heri katika Nyerer day

1 comment:

Anonymous said...

photocopying facilitates posteriori liaison texte tumbling polar hatch gamma global harlow
masimundus semikonecolori