Member of EVRS

Wednesday 15 February 2012

Matangazo katika Nyumba Za Kufikia Wageni




Hii ni mikakati ya kupambana na tabia zisizofaa kwa Jamii za Kitanzania. Hasa kipengele namba 8 na 12!

2 comments:

Mbele said...

Hii nimeipenda. Tena inatakiwa wawepo polisi wenye mabomu ya machozi kuwalipua wahalifu :-)

Anonymous said...

Hilo sharti namba 8 duh!!