Member of EVRS

Sunday 29 May 2011

Football Affairs


The only and the only best team in the world in this season.. Barcelona had won the Europen clubs highest title.
 
As a football fan, I congratulate Barcelona, and I am very sorry for Fergie and Man U fans!
 
When one door is closed, it is time to seach for another one, rather than standing idol and asking your self why this .... closed

3 comments:

malkiory said...

Charity starts at home! Dr. Chib. sisi Wa-tz tumekuwa wazuri kufuatilia ligi za wenzetu bila kujiuliza ni kwanini soka la Tanzania inakuwa stagnant. Siasa za kulalama kila siku kwenye mitandao bila ya action ndiyo chimbuko la utendaji hovyo katika kila idara,iwe ni michezo, elimu, afya,utamaduni, uchumi n.k.

Dr. Chib, binafsi nanaamini kuwa bara la Afrika lina rais mmoja tu na ni rais wa nchi unayoishi kwa sasa, Paul Kagame! huyu mkuu wa nchi ni mfano wa kuigwa.

emu-three said...

I see!

chib said...

Umenena Malkiory. Ila nimemfuatilia sana kiongozi huyu, mambo mengi anayaiga yale ya Baba wa Taifa, hadi nidhamu jeshini, uendeshaji wa jumla wa nchi na kutunza nidhamu na ulinzi wa nchi. Cha zaidi kajikita katika michezo, na kila mara mtu akisema atajitahidi atimize asilimia 95 ya kazi yote, yeye humuuliza kwa nini sio asilimia mia moja