Member of EVRS

Friday 24 June 2011

Woman With World's Largest Natural Breasts

Annie Hawkins-Turner, she holds a Guiness World Record breasts are size 102ZZZ and weigh eight stone

Appearing on ITV's  programme, she said her breasts started growing at the age of nine, and had caused her considerable emotional distress growing up.


It was not until later in life, when her husband encouraged her to showcase her bosom on adult websites, that she embraced her curves.
Every time I get a new doctor they offer me surgery but I don't need surgery. I've got a strong back and have never had back ache. I've had therapy on how to hold myself so I won't hurt myself,"
"Sometimes it irritates me when people ask, 'how do you walk?' I'm not handicapped. I've just got very large boobs which I've learned to take and just do marvellous things with," she added.

Get more here

Thursday 23 June 2011

Sunset in Kigali, Rwanda

 At this time, those people whe really want to enjoy the nature, they can see how the sunset looks in Kigali which is nick named as the heart of Africa.
 Dont let yourself confused with solar eclipse!

 You can see closer images below
 And this below, when the sun is almost disappearing at the horizon. Glooming red!
I just enjoyed this view yesterday.
Just a simple camera, can make a good memmorable captures!
Enjoy!

Tuesday 21 June 2011

Malimwengu ... This is the World!

Imetolewa kwa mmiliki wa wavuti hii

Monday 20 June 2011

What Am I Thinking Now.....

If you know the value of time then ..... think about this..

It is better to spent your time on renovation of your home in order to get the best tenant who can pay you well than spending your time fishing out for the better tenant who can pay you well for  your unrepaired home.

Friday 17 June 2011

Siku 100 za Maombolezo ya Mauaji ya Kimbari, Rwanda


Wiki ijayo tarehe 4 Julai, nchi ya Rwanda itahitimisha kumbukumbu ya mauaji ya kimbari dhidi ya Watutsi yaliyofanyika miaka 17 iliyopita.
Ni siku muhimu kitaifa kwani wale wahanga wa vurugu hizi hukumbukwa kila mwaka kuanzia mwezi Aprili ambapo mauaji yalianza rasmi mara baada ya ndege iliyokuwwa imewabeba marais wa Rwanda na Burundi kupigwa na inachosemekana ni kombora la kivita muda mchache kabla ya ndege kutua kwenye uwanja wa kimataifa wa ndege, Kigali.
Kwa kipindi hiki cha kuwakumbuka wahanga hawa, watu mbalimbali hutembelea makumbusho ya wahanga hawa yaliyopo katika eneo la Gisozi jijini Kigali ambapo kuna makabuli ya jumla, kumbukumbu za mifupa na mafuvu ya baadhi ya watu waliouawa, picha na taarifa mbalimbali zikiwepo video za matukio hayo.

Wiki hii, ofisi yetu nayo ilikwenda kuzuru eneo hili la kumbukumbu ya mauaji, zaidi ya wafanyakazi 100 tulikondoka mchana kazini kwetu, ambapo ilibidi wabakie watumishi kwa ajili ya huduma za dharura, na wengi wetu tulijumuika kwenda kupata historia ya mauaji hayo na pia kutoa mchango utakaowawezesha waliosalimika kwa heri na kwa ubaya ili waweze kuendelea kupata huduma ambazo kwa ajili ya ama ulemavu walioupata, au kuambukizwa virusi vya ukimwi kwa makusudi na wauaji ambavyo vimewafanya kushindwa kumudu maisha ya kawaida.
Ni historia ambayo kwa kweli inatia huzuni sana, na wakati mwingine unashindwa kuelewa kwa nini watu waligeuka na kuwa zaidi ya wanyama.

Na picha ya mwisho hapo ni ishara ya mwenge wa matumaini na amani, ukiashiria wamedhamiria kutokurudia tena balaa kama hili.

Kwa wale watakaofika Kigali, hii ni sehemu ya kutembelea kwa kujifunza.

Thursday 16 June 2011

The way I watch Total Lunar Eclipse Last Night

I was just a very clear sky.. at around 9.25PM Rwandan town, she shadow over trhe moon started at the bottom of the moon..



30 minutes later it picked further...



then after 40 minutes, just a quarter of the moon remained

After one hour, ghosh. nothing remained out!  

Well, it was just wonderful to see this......

Tuesday 14 June 2011

Bunge la 10 ni Vioja Mbele kwa Mbele

Kila mara ninapokaa na kuangalia moja kwa moja kupitia kwenye runinga majadiliano ya miswada kweny Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.... Huwa naishia kucheka.
Si kwa kuwa naona linajadili mambo ya manufaa kwa nchi yetu pekee, na kutoa michango yenye tija, bali huwa nashuhudia vituko vya wabunge na kejeli wanazozitoa, wakati mwingine bila hata kujali ya kuwa wapo ndani ya Bunge ambalo ndilo limewapa jina la kuitwa "waheshimiwa".

Bado nafikiri dhana aliyokuwa nayo muasisi wa Taifa letu, Mwalimu Nyerere, ya kufuta wabunge kuitwa waheshimiwa, na badala yake waitwe "ndugu" ilikuwa na maana, na maana yake inaonekana kwa sasa ndani ya Bunge.

Jana jioni kulikuwa na zogo la kama kwenye kilabu cha pombe za kienyeji wakati wa michango ya hotuba iliyotolewa na ofisi ya rais - mahusiano na sera. Kwani kuna wabunge waliwashutumu baadhi ya wabunge wenzao ya kuwa ni waombaji rushwa, wengine walisema kuna vyama fulani kila siku ni maandamano tuu, wengine walikuwa wanasema kuwa kuna wabunge ni mabingwa wa "domo kaya" ambalo lilisababibishwa wafukuzwe kwenye vyama vingine kabla ya kujiunga na vyama walivyomo sasa nk.

Mwendelezo wa majadiliano ulikuwa unakatizwa mara kwa mara kwa taarifa na anagalizo.
Baadhi ya Wabunge ambao ni waheshimiwa walikuwa wanachombeza maneno wakati wengine wakiwa wanaongea. Nahisi mwenyekiti wa kikao hicho cha jioni alikuwa na wakati mgumu 
 
Kuna saa niliona napoteza muda kuwasikiliza hawa waheshimiwa... 
 
Mwanzo Spika alisema wabunge wengi ni wapya, yaani ni takribani asilimia 70, hivyo bado hawajajua vizuri kanuni za bunge, lakini ... sina hakika lini watazijua kanuni hizo na kuwa waheshimiwa wa kweli, kwani tangu wameteuliwa kuwa wabunge wamekwisha gonga miezi karibu minane, na kama mpaka leo hawajui kanuni... basi ni mabutu kweli.....

Nahisi hii sera ya kuongeza viti vya wabunge ilikosewa, nahisi tunahitaji wabunge wachache lakini walio makini....... Just thinking aloud!

Image from loadtr

Saturday 11 June 2011

Majibu ya katibu wa Bunge kwa Mh Zitto Kabwe Kuhusu Posho Zake

Hii ni barua aliyojibiwa Mh Zitto Kabwe na katibu wa Bunge kufuatia ombi lake binafsi la kutaka posho zake za bunge zipelekwe kwenye mfuko wa maendeleo ya watu wa Kigoma kwa hisia zake ya kuwa wabunge hawastahili kulipwa posho za vikao vya bunge kwani anaona ni sehemu ya kazi ya mbunge.
 
Kwa maana nyingine wabunge ni waajiriwa wa ofisi ya Bunge, kwa mantiki hiyo, hawastahili kulipwa posho za vikao wanapokuwa katika kazi za kawaida Bungeni kama waajiriwa.

Nimeipata hapa  na pia unaweza kupata habari za Zito hapa kwenye wavuti yake

Monday 6 June 2011

Policeman in Zimbabwe Jailed for Using President Mugabe's Toilet

Relatives of a policeman jailed in Zimbabwe for using a toilet reserved for President Robert Mugabe are appealing for his release.
The policeman, Alois Mabhunu, was arrested last month in the city of Bulawayo after he used a special presidential toilet at a trade fair.
A police court on Wednesday ordered his imprisonment for 10 days.
Zimbabwean human rights lawyers said there was no law forbidding people from using the president's toilet. They said Mr Mabunhu should not have been arrested.
Mr Mugabe, 87, visited Bulawayo, the country's second city, for the opening of the annual Zimbabwe International Trade Fair on 6 May.
Mr Mabunhu was on duty when he was caught short and rushed to use the reserved toilet. He was arrested several days later.

According the Zimbabwe's Daily News paper, his charge sheet did not specify what laws he had breached or how he had compromised security

From BBC

Friday 3 June 2011