Member of EVRS

Monday 2 April 2012

Matokeo Yasiyo Rasmi: CHADEMA Washinda Arumeru Mashariki

Matokeo yaliohakikiwa na tume ya Taifa ya Uchaguziya katika kata 15 kati ya 17 yameonyesha mgombea wa Chadema, Bw Nassari anaongoza kwa zaidi ya kura 6,000, na matokeo ya kata mbili zizobaki hayatarajiwi kuleta mabadiliko ya ushindi.

Wale waliokokotoa matokeo ya kila kituo, wameshathibitisha ushindi kwa CHADEMA.  
  
Kinachosubiriwa ni kutangazwa mshindi rasmi.  
  
Tahadhari: Haya ni matokeo ya awali.

1 comment:

emu-three said...

Utabiri wako ulikuwa sahihi...