Later today I will be out of my office.
I will be heading to Tanzania briefly before travelling to Germany etc.
My posts will be affected by the "quake" of moving around. Whenever I get an opportunity I will visit your blogs and I will share with you whatever I will encounter on the way.
Friday, 29 May 2009
Thursday, 28 May 2009
Men at Work
Wednesday, 27 May 2009
Dhana ya "ung'arishaji" wa uso

Ni siku nyingi tangu nimewaona akina dada huko nyumbani Bongo waliokuwa wanapenda kubadili nyuso zao kwa "kuzing'arisha"(kuchubua) kwa kutia nakshi(Mkorogo) na kuwa na uso iliosawajika na kuwa wenye rangi "hafifu" kuliko iliyokuwapo awali, na wakati huo kuacha sehemu nyingine ya mwili kuwa asilia na iliyokolea.
Kuna baadhi ya watoto wadogo waliokuwa watukutuku nyakati hizo, walikuwa wanatulizwa kwa kuambiwa nitamuita fulani (aliyeng'arisha uso), maana kuna wengine walikuwa wanatisha baada ya zoezi la ung'arishaji.
Majuzi nilikutana na "mng'arishaji" mitaa ya huku, kwangu ilinikumbusha historia....
Wataalamu wa ngozi watanisaidia kukemea kitendo hiki, kwani mbali ya kuharibu muonekano wa mwili, pia kemikali zinazotumika katika mchanganyiko huo wa ung'arishaji zina madhara makubwa katika mwili wa binadamu na hasa zinapotumika kwa muda mrefu.
Bofya picha kwa muonekano mzuri zaidi.
Tuesday, 26 May 2009
Income Challenges and Safety of Our Babies

There are city millitia who always chase away illegal businessmen and women, and always they run uphazardly.
My major concern was safety for the babies there. I have a wish to help, but I do not know how...
Click the picture to see the two innocent angels clearly.
Biashara kwa Rubangura

Akina mama wajasiriamali wakifanya biashara katika mtaa maarufu kwa biashara za maduka ya mikononi. Zaidi ya nusu ya wafanyabiashara katika mtaa huu ambao naufananisha kidogo na mtaa wa Kongo Dar ni akina mama, na wateja karibu asilimia 90% ya biashara ndogondogo ni akina dada.
Tutawakomboa vipi akina mama wanaojishughulisha namna hii mpaka kwenda na watoto wachanga kwenye mtaa wenye watu wengi namna hii, bila kusahau pia kuwa na hapa Kigali kuna askari kanzu huwa wakati mwingine wanawakimbiza hawa wajasiriamali!
Monday, 25 May 2009
Keep a Closer Look!

If you are looking for this abandoned office, just take a walk rather than a car or motorcycle, as you can easily pass by without noticing it.
Click the photo to see more details.
Sunday, 24 May 2009
Saturday, 23 May 2009
Main Post Office - Kigali, Rwanda.

Post office letter boxes

Jana nilikwenda Posta kuu hapa jijini Kigali kuchukua "parcel" yangu niliyotumiwa kutoka ughaibuni (Nje ya Rwanda), wakati naelekea sehemu ambayo huwa wanatunza hiyo mizigo, nilipita kwenye masanduku binafsi ya barua.
Nilibaki nimeshangaa kwani ni ya mbao, na yote yana makufuli ya aina mbalimbali ambayo ndio hutumika kufunga au kufungua boksi lako kama unataka kuchukua barua, nafikiri kutokana uwezo wa mmiliki, anachagua aina ya kufuli la kuweka. Mengine kwa kweli yalikuwa makubwa kuliko kijisanduku chenyewe.
Subscribe to:
Posts (Atom)