Member of EVRS

Showing posts with label elections. Show all posts
Showing posts with label elections. Show all posts

Monday, 28 November 2011

Ni siku ya Uchaguzi DR Congo na Egypt

Wapinzani wakidhibitiwa na askari wa Congo katika viunga vya jiji la Kinshasa

Leo ni siku ya uchaguzi wa rais na wabunge katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)
Katika kampeni za kujinadi kwa wagombea, kulikuwa na matukio mengi ya uvunjifu wa amani ambapo polisi walilazimika kutumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa vyama mbalimbali waliokuwa wanapingana. 
Katika kampeni, lugha mbalimbali zilitumika kama njia ya mawasiliano kutegemea na mahali kampeni za kisiasa zilipokuwa zikifanyaika. Lugha kuu zilizotumika zaidi katika kampeni hizo ni Kilingala, Kifaransa na Kiswahili.  
   
Huu utakuwa ni uchaguzi wa kwanza wa kipekee kwa muda mrefu, kwani gharama za uchaguzi huu zimegharimiwa na nchi ya Kongo yenyewe.


Askari wa Misri karibu na Tahrir square

Wakati huo huo, nchi ya Misri nayo leo inafanya uchaguzi wake wa kuwachagua wabunge wa mabunge mawili ya nchi hiyo.  
Itakumbukwa kwa wiki kadhaa sasa kulikuwa na maandamano ya kuipinga serikali ya Kijeshi inayotawala nchi ya Misri baada ya kiongozi wake wa siku nyingi, Hosni Mubarak kuachia madaraka kufuatia shinikizo la wananchi kumtaka kuondoka madarakani, ambapo alitii baada ya vurugu kubwa kuzidi nje ya uwezo wa utawala wake.  
  
Pia kwa Misri, uchaguzi huu unahesabika kuwa wa uhuru zaidi kwa miaka zaidi 30 iliyopita.
Kulikuwa na matukio ya ucheleweshaji wa makaratasi ya kupigia kura kwenye vituo kadhaa vya Cairo na Alexandria.  
  
Tunawaombea wamalize uchaguzi kwa amani ili waweze kizijenga nchi zao.

DRC Photo from The Telegraph
Egypt photo from Guardian

Friday, 19 November 2010

USA 2012 Elections Fever start Rising Now

Sarah Palin, who was runner mate for 2008 Republican presidential candidate, has shown some interest for Republican presidential nomination for 2012 to challenge Democrats likely presidential candidate, Barack Obama.  
  
The matter for running for presidential race is still under Palin family's discussion, but Palin's fans have started canvancing for her. 
 
So far, Barack Obama has upper hand where still 55% have a positive minds towards him despite the hard economic challenges affecting the globe and his Government, while for Sarah Palin only 47% gave her chances that might win the 2010 elections, while 53% unfavour her.

Friday, 7 May 2010

England 2010 Elections: Conservative Emerges as Top Winner in Parliamentary Seats

David Cameron's Conservative Party has won the majority of votes and Parliamentary seats in UK 2010 elections.
Conservative won 307, followed by Labour Party with 258 seats and Liberal Democrats 57.

At this time seniour members of Conservative and Liberal Democrats (Not Parties Leaders) are under negotiations to form a coallition of their parties, which will enable them to form a minority government.

Labour Party Receives Another Big Blow

It is obvious now that Labour party of England has lost mandate to form a government from the results which are coming in.

So far Conservative has won 289 seats, Labour 245 and Liberal Democrats has 51 seats.

Few minutes ago, Nick Clegg, the leader of Liberal Democrats has announced that he believes that the Party which has majority of seats, should be given chance to form the government. He further, strengthen his speech by saying that he do believe Conservative will prove that is capable of joining hand with other parties to form a government for the benefit of all people in England.

This is a clear blow to Labour party, it is unlikely that Liberal Democrats will form a coallition Government with Labour, but rather ready to do so with Conservative.

The final results are expected later today.