Member of EVRS

Friday, 30 October 2009

Mtafaruku wa Kubandika


Wapitiao njia hii mtaniwia radhi mkiona mambo hayaendi vyema.

Nimekuja kugundua unapoitwa kuwa msimamizi wa mitihani (external examiner) na kupewa jukumu la kutamka kwamba mtahiniwa huyu ameridhisha baraza la watahini na hivyo anastahili kufaulu mtihani ili asubiri graduation.. Ni adhabu kubwa.

Kwani inabidi na wewe urudi tena kwenye vitabu na kubukua ili mtahiniwa asije akakugonga nyundo ya kisogoni.

Kwa wiki mbili zijazo nitakuwa na kibarua cha kutoa maamuzi hayo. Mkiona blog imevaa suruali pwete, basi mjue vijana wamenitolea macho kweli kweli. Taabu lugha... kifaransa na kiingereza, lazima uvume kotekote ili wasikupige chenga.

Wikiendi njema

Wednesday, 28 October 2009

Norway: Wizi mwingine!! (Interesting smuggling)


Kijana wa miaka 22 kutoka Norway amekamatwa na polisi wa Norway akiwa anatokea Denmark baada ya kukutwa akiwa ameficha viumbe tambazi mbalimbali wakiwamo chatu wadogo 14 (royal pythons) kwenye mwili wake.

Polisi walikuwa katika upekuzi wa kawaida kwa kijana huyo na ndipo walipomuona buibui katika mizigo yake.

Kilichowashangaza zaidi, waliona mwili wa kijana huyo unachezacheza kila mahali muda wote ingawa yeye alikuwa ametulia, na ndipo walipomshtukia kuwa ni mwizi wa viumbe hai, na hivyo kuamua kumpekua mwili wote.
Walichokikuta kiliwaacha midomo wazi.
Kijana huyo amekubali kulipa faini ya pound 1380 ili aweze kuachiliwa
For more information in english, read here

Tuesday, 27 October 2009

Protects eyes of Less Privileged Children

Children born in many African countries do not receive more attention as far as eye care is concerned.

A good number of them are born in semi-furnished hospital or maternity units, and another big group are delivered at home with assistance from traditional birth attendants. Luckily many survives due to many factors. This doesnt mean that infant mortarity rate is low.

Among the commonest eye problem noted immediately after delivery, is neonatal conjunctivitis which can be caused by germs mostly from the mother's birth canal, however, some of them can acquire the infection during the delivery process or shortly after delivery if level of eye hygiene is poor.
Serious complications can come from diseases like gonorrhoea and chlamydia.

Typically the child presents with eye discharge which can be copious and eyes may be swollen sometimes grossly. The child might cry like ringing bell.
If no treatment is given, the child might suffer severe complications including perforation of the eyes and blindness is a life long painful end result.

It is unfortunate that in many African rural hospitals they do not provide eye treatment immediate after birth which can help to reduce incidences of neonatal eye infections.

It has been recommended to give antibiotics eye drops immediately after delivery. Drugs such as rifamycine eye drops are effective for both chlamydia and gonococcal conjunctivitis, therefore it is wise to give this treatment as prophylaxis (protection) immediately after delivery. The major problem is availability of such drugs in the rural communities where more than 70% of children are born there.

Let's improve the eye health of the less privileged children. Let's help them.
P'se, send to me your concern at this post or via my email: chi.bue@gmail.com

Omba omba anapokuwa kero


Jaribu kufikiria ya kwamba upo kwenye gari la kuazima, na mfukoni mwako umewakiwa jua kali sana. Na kwa wakati huo uko kwenye mzongo wa mawazo maana mshahara wa mwezi umechelewa kutoka, na wakati huohuo unadaiwa kodi na mwenye nyumba.

Halafu anakuja ombaomba, tena mama mtu mzima na kukuomba kwa heshima zote. Na kwa sababu huna unamjibu kwa heshima pia kuwa siku hiyo hali yako kifedha sio nzuri.

Kinachofuatia hapo ni huyo ombaomba kusema maneno ya kukulaani ati kwamba usipompa basi utapata mkosi, na wala hutafanikiwa, na kama haitoshi anakutukana kabisa na kuongeza kwa kukuita wewe ni bahili wa kutupwa.

Ukipenda kupata utamu wa habari hii, jaribu kuwa unaenda kivuko cha feri upande wa Kigamboni, na sharti uwe na gari hata la mtumba uliloliazima kwa mtu... ila nakushauri usiwe na hasira.

Saturday, 24 October 2009

Uingereza: Mgomo Katika Shirika la Posta


Wafanyakazi wa shirika la posta la Uingereza (Royal Mail) walikuwa wametangaza mgomo wa siku 3 ili kushinikiza serikali yao kuwaongezea malipo ya mishahara.

Inasemekana serikali ilitangaza nafasi za kazi za muda zipatazo 30,000 kwenye posta hizo. Bila kutarajiwa na wengi, walijitokeza watu zaidi ya 100,000 kuomba nafasi za kazi hizo za muda.

Mpaka sasa inadaiwa ya kuwa shirika hilo lina barua na mizigo ya wateja ipatayo milioni 30 iliyokwama na wanajitahidi kuifikisha kwa wateja haraka kabla ya mgomo mwingine haujaja. Hii ni kutokana na msemaji wa shirika hilo, lakini baadhi ya wafanyakazi wamedai taarifa hiyo si ya kweli, bali idadi inakadiriwa kufika milioni 65!

Sina hakika ingekuwaje kama ingetokea Bongo!

Thursday, 22 October 2009

Chaos in Brazil


Above: Remains of the police chopper after it was shot down by gang.

At least 32 people have been killed since last Saturday in Rio de Janeiro
The fighting erupted at the weekend when a police helicopter was shot down by suspected drug traffickers. Police interrupted the gun battles between drug gangs before this tragedy.

The violence comes just weeks after Rio was chosen to stage the 2016 Olympics.



Feuding between rival drug gangs across several shantytowns (above the burning bus in one of the shanty towns) in the north of Rio that began on Saturday seems to have started a grim sequence of events that has yet to reach a conclusion, says the BBC's Brazil correspondent Gary Duffy.
This level of crimes......., it seems the 2016 olympic people have to go with bullet and grenades-proof vests!!

Bremen: Child Friendly Airport


When you arrive at Bremen Airport in Germany, you will always meet smiling faces ... from children.
They never become tired to enjoy their exclusive place for playing while waiting for their travel or visitors.
I congratulate Bremen airport authority for such considerations.

Wednesday, 21 October 2009

With a Light Touch

A man was just waking up from anaesthesia after surgery, and his wife was sitting by his side. His eyes fluttered open and he said,
Man: "You're beautiful." Then he fell asleep again.

His wife had never heard him say that, so she stayed by his side and thanking God that finally he has changed.
A few minutes later, his eyes fluttered open and he said,
Man: "You're cute!"

The wife was disappointed because instead of "beautiful," it was now "cute."

Woman: "What happened to 'beautiful'?"
Man: , "The drugs are wearing off!" then he fell asleep again.