Member of EVRS

Saturday 30 June 2012

Kupaa Mbinguni au Kuokoka?

Mtu anaposema anamuomba Mungu aweze kwenda Mbinguni.....
Basi usifikiri njia ya kwenda huko ni rahisi kama barabara hii  ....
  
Kuomba peke yake pia hakutoshi, bali utafanikiwa kama utaweka mkazo katika mambo mengi ikiwapo na Matendo, Upendo, Uadilifu, Huruma, Kujali, Kusaidia na kuwa Mkweli. 
 
Ni kazi bure kujionyesha ya kuwa wewe ni mcha Mungu, wakati unapokuwa kwenye giza unakuwa mchafu kuliko hata yule unayemdhihaki kila siku ya kuwa anabebwa na Ibilisi.
Mungu unayemuogopa na kujificha, ni mwanadamu mwenzako, lakini unasahau ya kuwa Mweza wa yote hafichwi kitu na anakuona!

Halafu watu wakikuambia wewe Pambaaaf unatudanganya, unatishia ati utawapeleka mahakamani na kudai mabilioni ya kuchafuliwa jina!!!
 
  
Weekend njema kwa wote!

1 comment:

Simon Kitururu said...

Jumapili njema pia Mkuu ! Na kuhusu uliyosema ...MMMH! Mie CHICHEMI!:-)