Saturday, 6 October 2018
Monday, 27 July 2015
Wednesday, 25 March 2015
When Michelle Obama appear in Bald
An appearance by Michelle Obama on “Jeopardy!” had fans on Twitter scratching their heads, wondering whether Michelle Obama was sporting a new, hairless look on hers.
The first lady popped up on the long-running quiz show to promote her “Let’s Move!” anti-childhood obesity initiative.
Read more here
The first lady popped up on the long-running quiz show to promote her “Let’s Move!” anti-childhood obesity initiative.
Read more here
Friday, 20 February 2015
SELF DRIVING CARS BY 2017
If self-driving technology has seemed more like science fiction than fact so far, it's because of not just the limits of the software, but the legal rules as well. All trials of self-driving vehicles in the United States so far have involved a handful of corporate employees in just a few states, and even then the results look like a new form of cruise control rather than something that could change how we live.
Further details click here
Wednesday, 16 July 2014
Sunday, 1 June 2014
Friday, 30 May 2014
Saturday, 28 December 2013
Monday, 18 November 2013
Dar es Salaaam Endless Constructions Works
Growing Dar es Salaam
Full of constructions activities, disturbances on transportation ahaaaa
But, promising future!
Monday, 16 September 2013
Thursday, 24 January 2013
Hongera Joseph Machele kwa Kazi Nzuri Mexico!
Nakupa pongezi nyingi mdogo wangu Joseph Machele kwa kazi nzuri unayoifanya kwenye ubalozi wa Marekani nchini Mexico.
Hapo awali ulipata tuzo ya Franklin, kwa kazi nzuri na ubunifu wa hali ya juu mpaka ukapewa heshima ya kuitwa Guru na cheti.
Na sasa umepata tuzo nyingine. Nina imani hautavimba kichwa kwa kukijaza maji, bali utavimba kichwa ili upate nafasi zaidi kwenye ubongo wa kufikiri na kuongeza ufanisi katika kazi zako.
Hongera sana!!
Sunday, 20 January 2013
Kigali, Should I say Good-Bye!
Today, it is one of the beautiful sunday, a bit sunny, a bit warm and calm.
In front of my verrandah, I have a glimpse of central Kigali city at the vicinity of my sight.
I am just wandering when I leave this place ...... I will definitely miss this!
Hey, have a blessed sunday!
Thursday, 27 December 2012
New Year Greetings, of Course from ME!
As we are about to finish the year 2012
It is not a bad idea to send the warmest greetings to all
It is good to wish you having the successful coming year of 2013 in all aspect of your life and carrier plans
It is not good to keep quiet without saying sorry for what I made you fail
It is very bad if I keep quiet while I see you are falling apart while I can help.
Have a wonderful new year 2013
Just remember, your smile doesn't cost you a thing, but it means a lot to other people to whom they love and trust you so much. Sooo, just shower it this time.....
Blessings
It is not a bad idea to send the warmest greetings to all
It is good to wish you having the successful coming year of 2013 in all aspect of your life and carrier plans
It is not good to keep quiet without saying sorry for what I made you fail
It is very bad if I keep quiet while I see you are falling apart while I can help.
Have a wonderful new year 2013
Just remember, your smile doesn't cost you a thing, but it means a lot to other people to whom they love and trust you so much. Sooo, just shower it this time.....
Blessings
Friday, 7 December 2012
Timu za Taifa za Tanzania Zimefungwa Nusu Fainali ya Cecafa Tusker Challenge cup 2012
Timu za Tanzania, Zanzibar Heroes na Kilimanjaro stars hazikufanikiwa kuingia fainali ya Cecafa Tusker Challenge cup mwaka huu wa 2012 baada ya kushindwa kwenye michezo yao ya nusu fainali.
Timu ya Zanzibar imetolewa kwa maamuzi ya penati,, baada ya kumaliza kwa sare ya magoli 2 - 2 na timu ya Harambee stars ya Kenya. Zanzibar Heroes walikosa penati mbili za mwanzo.
Mwisho ushindi ulisomeka kama hivi: Kenya 6 - 4 Zanzibar
Nayo timu ya Tanzania Bara ilifungwa kwa jumla ya magoli 3 - 0 na timu ya Uganda, (the cranes) baada ya kuzidiwa maarifa ya mchezo.
Timu ya Tanzania ilionekana kushindwa kwenda mbele, na badala yake mipira mingi walikuwa wanarudisha nyuma kuelekea golini kwao badala ya kushambulia mbele.
Magoli ya pili na tatu yaliyofungwa na Uganda, yalitokana na uzembe wa walinzi wa Kilimanjaro stars kutokukaba kwa wakati wakidhani wachezaji wa Timu ya Uganda walikuwa wameotea.
Kwa mantiki hii, Zanzibar na Tanzania bara zitakutana katika mchezo wao wa mwisho kutafuta mshindi wa tatu siku ya jumamosi tarehe 8 Disemba 2012. Baadaye kwenye uwanja huo huo, Uganda itacheza na Kenya katika Fainali ya kutafuta bingwa wa mwaka 2012/13.
Timu ya Zanzibar imetolewa kwa maamuzi ya penati,, baada ya kumaliza kwa sare ya magoli 2 - 2 na timu ya Harambee stars ya Kenya. Zanzibar Heroes walikosa penati mbili za mwanzo.
Mwisho ushindi ulisomeka kama hivi: Kenya 6 - 4 Zanzibar
Nayo timu ya Tanzania Bara ilifungwa kwa jumla ya magoli 3 - 0 na timu ya Uganda, (the cranes) baada ya kuzidiwa maarifa ya mchezo.
Timu ya Tanzania ilionekana kushindwa kwenda mbele, na badala yake mipira mingi walikuwa wanarudisha nyuma kuelekea golini kwao badala ya kushambulia mbele.
Magoli ya pili na tatu yaliyofungwa na Uganda, yalitokana na uzembe wa walinzi wa Kilimanjaro stars kutokukaba kwa wakati wakidhani wachezaji wa Timu ya Uganda walikuwa wameotea.
Kwa mantiki hii, Zanzibar na Tanzania bara zitakutana katika mchezo wao wa mwisho kutafuta mshindi wa tatu siku ya jumamosi tarehe 8 Disemba 2012. Baadaye kwenye uwanja huo huo, Uganda itacheza na Kenya katika Fainali ya kutafuta bingwa wa mwaka 2012/13.
Sunday, 18 November 2012
Kujivua Gamba na Kuliacha Likining'inia
Siasaaaa
Siasa kwa kweli ni mchezo wa kujaribu kuvutia na kufanikiwa kuteka fikra za wafuasi na watu wengine.
Pia siasa unaweza kuitafsiri kama ni dhana au mawazo aliyonayo mtu, na kujaribu kuwa aminisha watu wengine, ya kuwa hayo mawazo ya mwanasiasa huyo ni sahihi, na kama yakifutwa kwa makini, basi yatawasogeza watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine yenye maendeleo zaidi.
Wakati mwingine, mwanasiasa mwenyewe hana uhakika kama yupo sahihi, lakini anajaribu kuwavutia watu tu ili afanikishe malengo yake.
Miezi kadhaa imepita tangu watu fulani waliposema walikuwa ni kama mfano wa wanyama wanaotambaa na wenye damu baridi, wakaueleza uma ya kuwa wamebadili safu yao na kuanza vita na mafisadi kwa mfumo wa kujivua makoti ya zamani na kubakia na makoti mapya.
Lakini .... naona sina kumbukumbu kama walivua makoti au walinyofoa mifuniko ya makoti yao tu.
Sasa tunasikia tena wamebadili safu na wamekuja na usemi ule ule wa vita tena ile ile.....
Kwa hiyo tusubiri tena mwaka 2014 wakibadili safu za serikali za vijiji, tena tutasikia nini tena!! aaah
Kwangu, nafikiri hakuna sababu ya kuendeea kuwapa nafasi watu wenye ahadi tuuuu au vipi!
Ninachukia siasa za ahadi hewa! Tubadilike alaaa!!
Siasa kwa kweli ni mchezo wa kujaribu kuvutia na kufanikiwa kuteka fikra za wafuasi na watu wengine.
Pia siasa unaweza kuitafsiri kama ni dhana au mawazo aliyonayo mtu, na kujaribu kuwa aminisha watu wengine, ya kuwa hayo mawazo ya mwanasiasa huyo ni sahihi, na kama yakifutwa kwa makini, basi yatawasogeza watu kutoka sehemu moja kwenda nyingine yenye maendeleo zaidi.
Wakati mwingine, mwanasiasa mwenyewe hana uhakika kama yupo sahihi, lakini anajaribu kuwavutia watu tu ili afanikishe malengo yake.
Miezi kadhaa imepita tangu watu fulani waliposema walikuwa ni kama mfano wa wanyama wanaotambaa na wenye damu baridi, wakaueleza uma ya kuwa wamebadili safu yao na kuanza vita na mafisadi kwa mfumo wa kujivua makoti ya zamani na kubakia na makoti mapya.
Lakini .... naona sina kumbukumbu kama walivua makoti au walinyofoa mifuniko ya makoti yao tu.
Sasa tunasikia tena wamebadili safu na wamekuja na usemi ule ule wa vita tena ile ile.....
Kwa hiyo tusubiri tena mwaka 2014 wakibadili safu za serikali za vijiji, tena tutasikia nini tena!! aaah
Kwangu, nafikiri hakuna sababu ya kuendeea kuwapa nafasi watu wenye ahadi tuuuu au vipi!
Ninachukia siasa za ahadi hewa! Tubadilike alaaa!!
Thursday, 8 November 2012
Romney: Your Time just Collapsed in the last minute
Mitt Romney .... May be your time is not yet
Obama has won re election by scooping minority, women and youths votes.
From African-American he scooped 93%, 71% of Latinos, and Asian origin individuals.
Apart from this, his party obtained 2 extra senate seats, these are Massachusets and Indiana.
Overall he got 303 electoral votes while Romney obtained 206 electoral votes.
Good luck Americans!
Obama has won re election by scooping minority, women and youths votes.
From African-American he scooped 93%, 71% of Latinos, and Asian origin individuals.
Apart from this, his party obtained 2 extra senate seats, these are Massachusets and Indiana.
Overall he got 303 electoral votes while Romney obtained 206 electoral votes.
Good luck Americans!
Monday, 29 October 2012
Sunday, 30 September 2012
Adha na Raha ya Kazi ya Huduma kwa Jamii
Kazi zinahusiana na kutoa huduma kwa jamii zina raha zake na karaha zake.
Kazi hizi ni kama vile za siasa, sekta ya afya, polisi, huduma za hoteli na migahawa, benki na kadhalika.
Wakati wote unahitaji kuwa mchangamfu na unayejali.
Hata pale anapokuja mtumishi wako wa nyumbani, ule ukali wako wooote, unayeyuka anapokuja ofisini kwako kwa ajili ya kupata huduma.
Lakini sina hakika kama watu wote wanakuwa hivi....
Nilikuwa nawatakia wikend njema tu!
Kazi hizi ni kama vile za siasa, sekta ya afya, polisi, huduma za hoteli na migahawa, benki na kadhalika.
Wakati wote unahitaji kuwa mchangamfu na unayejali.
Hata pale anapokuja mtumishi wako wa nyumbani, ule ukali wako wooote, unayeyuka anapokuja ofisini kwako kwa ajili ya kupata huduma.
Lakini sina hakika kama watu wote wanakuwa hivi....
Nilikuwa nawatakia wikend njema tu!
Wednesday, 12 September 2012
Mfanyakazi Takukuru - Ngara Ajiua kwa Kujipiga Risasi
Mfanyakazi mmoja wa TAKUKURU wilaya ya Ngara, siku chache zilizopita alijiftyatulia risasi na kufa papo hapo kwa sababu ambazo bado hazijafahamika.
Mfanyakazi huyo kazi yake kubwa ilkuwa ni ya masuala ya usalama na utunzaji wa zana za moto (silaha), ambaye pia ni mwenyeji wa mkoa mmojawapo wa nyanda za juu kusini magharibi mwa Tanzania, ambapo mkoa huo hapo awali ulikuwa na sifa ya wenyeji wake kujiua pale wanapoudhiwa kupita kiasi.
Chanzo cha mtu huyo kufikia uamuzi mgumu kama huo hakijajulikana wazi, japo inasemekana alitakiwa kutoka kwenye kikao ambacho kinahisiwa kilitakiwa kukaa na kumjadili yeye.
Alipotoka nje ya kikao, muda mfupi baadaye ulisikika mlio wa risasi, jambo ambalo lilizua taharuki kutoka kwa wajumbe waliokuwa kwenye kikao cha kazi na kuwafanya wakimbie hovyo huku wakisigana kupita kwa kasi ya ajabu kwenye mlango wa kuingilia kwenye chumba hicho cha mkutano.
Habari zaidi zinadai ya kuwa funguo za chumba cha silaha alikuwa amekwisha kuzikabidhi kwa mamlaka husika kazini kwake, na kuna hisia labda alikuwa amekwisha itoa silaha iiyomuua, au alikuwa janja na kutoa nakala ya ufunguo wa chumba cha kuhifadhia silaha za moto.
Mfanyakazi huyo kazi yake kubwa ilkuwa ni ya masuala ya usalama na utunzaji wa zana za moto (silaha), ambaye pia ni mwenyeji wa mkoa mmojawapo wa nyanda za juu kusini magharibi mwa Tanzania, ambapo mkoa huo hapo awali ulikuwa na sifa ya wenyeji wake kujiua pale wanapoudhiwa kupita kiasi.
Chanzo cha mtu huyo kufikia uamuzi mgumu kama huo hakijajulikana wazi, japo inasemekana alitakiwa kutoka kwenye kikao ambacho kinahisiwa kilitakiwa kukaa na kumjadili yeye.
Alipotoka nje ya kikao, muda mfupi baadaye ulisikika mlio wa risasi, jambo ambalo lilizua taharuki kutoka kwa wajumbe waliokuwa kwenye kikao cha kazi na kuwafanya wakimbie hovyo huku wakisigana kupita kwa kasi ya ajabu kwenye mlango wa kuingilia kwenye chumba hicho cha mkutano.
Habari zaidi zinadai ya kuwa funguo za chumba cha silaha alikuwa amekwisha kuzikabidhi kwa mamlaka husika kazini kwake, na kuna hisia labda alikuwa amekwisha itoa silaha iiyomuua, au alikuwa janja na kutoa nakala ya ufunguo wa chumba cha kuhifadhia silaha za moto.
Saturday, 8 September 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)




.jpg)









