Friday, 2 April 2010

Here and there in Dar-es-Salaam - Tanzania

Si mbaya sana, japo katika eneo hili, najaribu kulinganisha na hapo kabla.

Across the Kigamboni Ferry, It is better than it was before.
Ubebaji au sijui niite usafirishaji wa kuku! - Chicken transported ready for marketing.

6 comments:

  1. Dar es salaam. laiki ni sasa unamuijoy mai naniliiiieheheh, ndo maana unaenda huko. angalia usifanye kwa pupa wala vissasi mkuu

    ReplyDelete
  2. Looks great thanks for sharing
    :-)

    Have a wonderful weekend

    (@^.^@)

    ReplyDelete
  3. @ Kamala, una taaaabu weee, maana yako ni moja tu :-( Watu tunafikiria maendeleo na sio kitu unachodhani. Nakaa na familia yangu Rwanda kwa sasa

    @ Anya... Thanks

    @ Kitururu... Nina wiki hapa, bado nina kama siku 10 tena za kuwa Bongo, nitapaa WK ijayo kuelekea Mwanza na vijijini kabla ya kurudi Dar then Kigali wiki ileeee nyingine.
    Pasaka njema kwa wote

    ReplyDelete
  4. @Chib: Basi tukijitahidi nahisi tunaweza kukutana. Siko mbali!

    ReplyDelete
  5. Hata mimi nitakuwa mwaza by 14th

    twaweza vaana huko

    ReplyDelete