I just wanted to wish you a happy Easter and receive all the blessings showered on this day.
Ingawa hapa Dar Kuna sehemu hakuna umeme tangu jana ikiwa ni sehemu ambayo nami nipo. Nimemkumbuka Kaka Fadhy alivyokuwa akilalamika kupitia mtandaoni. Nami nimeonja joto ya jiwe :-(
pole sana, Pasaka njema/gllad påsk!!
ReplyDeletePasaka njema kwako pia.
ReplyDeletePasaka njema bloggers wote
ReplyDeletePoleni sana na mgao. Pasaka njema.....
ReplyDeletewelcome to tanzania. na hilo joto tena. dar haikustahili kuwa mahali pa kuishi watu. ni bahati mbaya tu. kungestahili kuishi watu iwapo watu hao wangeweza kupafanya pahala pa kuishi. natamani niweke ngome masaki, nguruwe kariakoo, kuku mlimani city.
ReplyDeleteHappy Easter you too!
ReplyDeletehongera. sijui mnalalaje ucku, inabidi utoe talaka kwa muda ishu ni hisia zikipanda, lazima igwaride, baada ya hapo ni majuto, utadhani kitanda kimemwagiwa nini sijui
ReplyDeleteila nashangaa hata bukoba siku hizi hakuna umemem wa uhakika, unakatika latika hovyo kama mwanamke wa ki-Tanga
Shukran na kwako pia pamoja na familia kwa ujumla
ReplyDeleteNawe pia. Tuletee habari na picha nyingine bwana, kama ya hao kuku wanaosafiri!
ReplyDelete