Member of EVRS

Wednesday, 30 March 2011

Sherehe za Kumuaga Josephine Ulimwengu - Rwanda

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Umoja wa Watanzania wanaoishi Rwanda - UTARWA - Ulifanya sherehe fupi ya kumuaga aliyekuwa mwenyekiti wa umoja huo Mama Josephine Marealle- Ulimwengu ambaye amepata kazi mpya ambayo inashughulikia masuala ya watoto kwa nchi sita zilizo katika ukanda wa Afrika ya Kati.
Ofisi yake itakuwa Addis Ababa, Ethiopia.
Kabla ya kupata kazi hiyo mpya, Josephine alikuwa mwakilishi mkazi wa shirika la CARE International kwa hapa Rwanda.

Katika mambo aliyowaasa watanzania wanaoishi Rwanda, aliwasihi kujituma, kufanya kazi kwa malengo ya kujiendeleza kitaaluma na kiutendaji na pia kusisitiza kukumbuka na kufanya shughuli za maendeleo nyumbani Tanzania.
Na mwisho alisisitiza, ya kuwa wasiwe waoga kufanya maamuzi ambayo wanahisi yatawaletea maendeleo kimaisha na kiutendaji.

Mwisho wa kauli mbali mbali za viongozi wa UTARWA akiwepo pia balozi wetu nchini Rwanda, Watanzania waliburudika kwa vyakula, vinywaji na muziki mwororo wa nyumbani ukichagizwa na utani wa makabila mbalimbali ya Tanzania.

Pata habari picha hapo chini!



Mwenyekiti Mpya wa UTARWA Bw,. Thambikeni akisoma risala kwa niaba ya wana-UTARWA

Mlezi wa UTARWA Mhesh. Balozi wa Tanzania nchini Rwanda akitoa wosia

Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Mama Josephine Ulimwengu akipokea zawadi ya UTARWA kutoka kwa Balozi Dk Matiko

Josephine akiifurahia kwa moyo wote zawadi aliyopewa

Kauli ya kuwaasa wana UTARWA


Wana UTARWA wanabadilishana hili na lile huku wakisubiri "Ndafu"

Tuesday, 29 March 2011

Sababu ya Watu Wengi Kuwahi Kwa Babu wa Loliondo

Kama inavyojulikana... watu wengi wanaenda kijiji cha Samunge kwa "Babu" pichani hapo juu, kupata tiba mbadala ya magonjwa sugu na yasiyotibika katika hospitali za kawaida.  
  
Mbali ya sababu hiyo kuu, kuna baadhi ya watu, labda wengi wanataka kuwahi hasa kwa kuzingatia umri wa Mchungaji mstaafu Ambilikile au maarufu kama "Babu". Kwani watu wengine wamekuwa na wasiwasi ya kuwa ni mzee sana, na kazi anayofanya sasa kuanzia asubuhi hadi usiku inamchosha sana. Hivyo, wamekuwa na wasiwasi labda siku zake za kuishi duniani zipo ukingoni, na hivyo wanataka kumuwahi kabla hajaitwa kwenye hukumu ya haki na ya mwisho!!!!! 
 
Nimekwisha pata habari kwa watu watatu walionithibitishia nia yao ya kuwahi huko Loliondo kuwa sababu nyingine ya muhimu kwa wao kwenda mapema ni huo umri wa Babu!!.
  
Hapa Rwanda, kuna watu wanajiandaa kukodi gari hadi kwa Babu huko Loliondo. 
 
Picha kutoka Bongocelebrity

Friday, 25 March 2011

Will be Returned Unopened?

Britain’s oldest virgin says her longevity is thanks to her never having sex.


Clara Meadmore recently celebrated her 107th birthday and says she never bothered bumping nasties with anyone because it seemed like too much hassle.

Clara says she knew she would stay single from the age of 12 and focused on her career.

“People have asked whether I am a homosexual and the answer is no. I have just never been interested in or fancied sex,” says Clara.

“I imagine there is a lot of hassle involved. I have always been busy doing other things.

“I’ve never been bothered about relationships.

“When I was a girl you only had sex with your husband and I never married.” - Daily Voice

Source:

Thursday, 24 March 2011

9 Years old Turned to be a Hero


Anaiah on the wheel chair above, some few weeks ago she turned to be a hero by saving life her younger sister Camry by pushing her away out of impending car crash unto them, and let herself being hit!
She knew that her sister will not run fast away from the rushing truck, in her quick mind she saw the best way was to gear the speed of her sister by a pushing her away from the accident stream!

Well.... it is unfortunate, that she lost one of her leg and a kidney, also injured spleen and long way for rehabilitation. But she is still alive!

Read more to see this "shujaa"

Wednesday, 23 March 2011

Rais wa Guatemala kumtaliki mkewe Sababu ya Mkewe Kutaka Urais!

Siasa.... kweli ni mchezo usio na maadili wala staha.  
  
Rais wa sasa wa Guatemala anayemaliza muda wake, Alvaro Colom, anatarajiwa kumpa talaka mkewe Sandra Torres de Colom kwa kile kinachodaiwa ya kuwa mkewe anataka kumrithi kiti cha urais.  
  
Mchakato wa kutengua ndoa hiyo umekwisha anza kwenye mahakama ya Guatemala na utachukua kama mwezi mmoja kukamilika.  
  
Katiba ya Guatemala, hairuhusu mtu yeyote aliye karibu kiundugu au ki-uwenza na rais aliyepo madarakani kugombea kiti cha urais baada ya muda wa rais aliyepo madarakani kumalizika kikatiba. 

Guatemala itafanya uchaguzi wake mwezi septemba mwaka huu.

Habari zaid kwa kiingereza, soma hapa

Monday, 21 March 2011

Healing by Believing: Kupona kwa Imani

Makala hii aliyoitoa Subi kwenye WAVUTI imenivutia sana.

Hii inatokana na wananchi wa kawaida, viongozi wa kiserikali na kidini, matajiri na raia wa kigeni waliokulia kwenye dawa zilizohakikiwa, kusahau yote na kwenda Loliondo kwa Babu kupata kikombe cha dawa ya aina moja ambayo inatibu maradhi ya aina yoyote. 
  
Na pia dawa hii imeleta chuki kwa baadhi ya watu wanaojiita ni mitume wa Mungu au Manabii na kufikia hata kumlaani Babu wa Loliondo kwa kumuhusisha na wale wahubiri wa uongo walioandikwa katika Biblia takatifu, lakini baadaye ilikuja kugundulika ya kuwa hao manabii na wahubiri wa neno la uzima wameanza kupoteza waumini katika makanisa yao, na kuna uwezekano mkubwa ndio sababu ya wao kumpigia kelele Babu wa Loliondo!

Kutokana na wimbi kubwa la watu kukimbilia kwa Babu, serikali ya mkoa wa Arusha imelazimika kutoa vibali vya usafirishaji vya muda kwa baadhi ya magari, ili kuwezesha kupungua kwa nauli inayotozwa kwa sasa kwa wagonjwa kuelekea Loliondo.

Bofya hapa kwa Subi upate habari picha.

Sunday, 20 March 2011

2011: Bitter Year for Our Earth!

New War zone has erupted in Libya.
Gaddhafi attacking his feloow country men identified as rebels
UN is attacking Gaddhafi arms.

Arabic world is facing revolutionary changes, some countries is chaotic situation.... people loosing life and power.....
 
Japan is facing hard time following natural disaster, the strongest quake in near future, followed by Tsunami. 
More than 17,000 people feared dead, and now the country sufferring from presumed deadly radiation disaster into the water, soil, plants, animals... 
Effects will be known over ten years to come....  probably, will reach the neighbouring countries...

Ivory Coast, innocent women, just gunned down, simply someone just seized the power, and doesn't know the word . NO...

Poverty, HIV crises,  .......

This is just the beginning of 2011, and not 2013!

Wish you a lovely sunday full of prayers!

Thursday, 17 March 2011

Puzzle From an Eye Corner

A little girl was sent to ana eye doctor after sustaining injury on her left eye following a blunt trauma from a fellow friend. The girl was complaining that the injuried eye was not seeing clearly.

An eye Doctor decided to examine both eyes thoroughly and finally he checked her vision, and he could not detect any deficient. He decided to do the visual field test by what they call confrontation test, where the girl had to fix her uncovered eye to the uncovered eye of the Doctor.

The eye doctor was puzzled to note that the girl was able to lacate and count accurately the fingers in all fields including the one an eye Doctor could not see!

The eye Doctor decided to put his fingers behind the girl's head, but yet the girl counted accurately the fingers!
The Doctor turned his head at his back to look for any puzzling event, but he just saw his usual wall at his back with nothing which can explain the girl's response, he then  pulled his chair and sat down with a deep a thoughts.

He eventually told the girl that her eye is okay, will recover from pain and she will be able to see clear in few days, but he finally asks her, how did she managed to see fingers behind her back?

What she answered... The Doctor was embarassed and admitted that he had learnt a lesson.

My readers, it is time for you to give your thoughts!!

Why do you think the Doctor turned his head and look behind his back wall when the girl was able to count fingers behind her back correctly?
Can you explain how did the girl managed to see the finger behind her back?
Can you guess the answer the girl gave to the Doctor?

I promise, if you get 50% or above from these questions, you are absolutely genius!!!