These refugees from Burundi also nicknamed as babies factory … are allocated in one of refugees camps in Tanzania.
The camp was able to take care of 60,000 refugees being on the maximum side, and that was a population in the camp a couple of months ago.
Now … it is very interesting or astonishing information depends on where you look at…
The statistics have shown that every month, there are 200 newborns! Just from that population of 60,000 which includes men, women and children.
If you do analytical studies, you will realise that their birth rate is 40,000 per million population per year which is the highest if you consider focal statistics. In another way, this population of refugees in one camp has a population growth of 4% every year.
I am afraid to say, it may be possible for one woman to have two newborns in one year if the first is born in January, we may see another come in December!!!!!
Labda ni nchi ya ahadi na mahali pa kuongeza idadi yao...
Do you have any suggestion for them?
Friday, 30 April 2010
Wednesday, 28 April 2010
What's Up When it Rains in Dar!!!

When it rains in Dar, many roads turns to be temporary rivers and streams....
This has been there for many years, and yet NOTHING has been done to solve this problem...
Labda wahusika wanaona mito ikijitokeza barabarani ni neema, wanafikiri watapata samaki barabarani.
Is it so natural, that city fathers and mothers enjoys .....
Have a nice wednesday pals, get your "blind" leaders into powers, and enjoy all sorts of disappointments..... What should I say now..... you are blind too...
Cheers
Monday, 26 April 2010
Miaka 46 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Leo watanzania tuna adhimisha miaka 46 ya kumbukumbu ya muungano wa nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar ambao ulizaa Tanzania yetu ya leo.
Muungano huu haukuzaliwa kwa kujifurahisha au kuwafurahisha watu au mataifa fulani.
Ulipoanzishwa ulikuwa na malengo mengi.
Kwa sasa tunaelekea kukaribia nusu karne ya muungano huu, lakini sidhani kama tulishawahi kukaa na kutafakari mambo mangapi tumeyatimiza kutokana na madhumuni au makusudio ya muungano huu.
Nina imani viraka katika muungano huu ni vingi sana kiasi kwamba tunaanza kusahahu rangi halisi za muungano wetu.
Si vibaya tukianza kutafakari na kuufanya muungano huu uwe bora na wa mshikamano zaidi.
Mungu ubariki Muungano wetu, Mungu wabariki Watanzania.
Muungano huu haukuzaliwa kwa kujifurahisha au kuwafurahisha watu au mataifa fulani.
Ulipoanzishwa ulikuwa na malengo mengi.
Kwa sasa tunaelekea kukaribia nusu karne ya muungano huu, lakini sidhani kama tulishawahi kukaa na kutafakari mambo mangapi tumeyatimiza kutokana na madhumuni au makusudio ya muungano huu.
Nina imani viraka katika muungano huu ni vingi sana kiasi kwamba tunaanza kusahahu rangi halisi za muungano wetu.
Si vibaya tukianza kutafakari na kuufanya muungano huu uwe bora na wa mshikamano zaidi.
Mungu ubariki Muungano wetu, Mungu wabariki Watanzania.
Sunday, 25 April 2010
Late Sunday Wishes
Friday, 23 April 2010
Wednesday, 21 April 2010
Monday, 19 April 2010
Life in Upcountry
Just before crossing the Lake Victoria
Another side of the lake
Nilishasahau kama haya mabasi ya kupakia mizigo juu ya gari bado yapo, kwani yalisha tajwa kuwa hatari iwapo mzigo mkubwa utawekwa juu ya gari, kwani hubadili uwiano wa kati ( Center of gravity) kwenda juu zaidi na hivyo gari likiyumba hasa kwenye makorongo au bonde linaweza kupinduka. Pia mzigo ukizidi sana uzito ambao basi linaweza kuubeba, unaweza kuwaangukia abiria vichwa vikapigwa pasi kama Tom & Jerry. Lakini bahati mbaya hivi haviwezi kurudi kawaida...
Another side of the lake
Nilishasahau kama haya mabasi ya kupakia mizigo juu ya gari bado yapo, kwani yalisha tajwa kuwa hatari iwapo mzigo mkubwa utawekwa juu ya gari, kwani hubadili uwiano wa kati ( Center of gravity) kwenda juu zaidi na hivyo gari likiyumba hasa kwenye makorongo au bonde linaweza kupinduka. Pia mzigo ukizidi sana uzito ambao basi linaweza kuubeba, unaweza kuwaangukia abiria vichwa vikapigwa pasi kama Tom & Jerry. Lakini bahati mbaya hivi haviwezi kurudi kawaida...Sunday, 18 April 2010
Shared Sunday Memory
As I sat at this corner of my front garden, it made me laugh when I recall how bitter I was when I arrived from work and found my gardener had "shaved" my trees in the process of prunning.Just see below what he did 6 months ago.
I just want to wish you a lovely Sunday. And take it easy at the difficult times, shading out bad memories will make a way to new and fresh memories.I have learnt something out of this garden!
Subscribe to:
Posts (Atom)







