Member of EVRS

Tuesday, 30 March 2010

Hatimaye....

After very long trips, at last I am at motherland.

I am still organising myself, and soon tutaonana through posts.

Nawashukuru watani wangu na wasomaji wangu, nimepitia ushauri na mawazo yenu, mengi yamenifurahisha na kunichekekesha.

Natumaini wengine tutaonana very soon.

Ila joto la Lukuvi, wacha tu!!!

Sunday, 28 March 2010

... Be Away

It is time to relax from the regular work
But it is time to explore other things away from work
That is what we call a holiday.
I am heading for it now, starting at the airport then ......., my posts will depends on time and internet accessibility.

Naanza likizo ya pasaka kama kwa wiki 2 hivi, tutakuwa tnaonana pale nitakapoweza kufanya hivyo.

Have a nice sunday

Ni sahihi au Si sahihi?


Katika pita pita yangu katikati ya mji wa Kigali... Nilimkuta mama huyu katika kituo cha mafuta akiwa na juhudi kubwa ya kumwagilia lami mpya ambayo ndio kwanza imewekwa siku iliyopita.
Jua lilikuwa ni kali na mara kadhaa alikuwa anakunywa maji hayo kutoka kwenye mpira wa kumwagilia ninafikiri ili apoze kiu.
Hakukukuwa na vumbi wala uchafu kwenye hiyo lami, yaani ilikuwa bado ni mpya.
Mimi sio mkondarasi wala sina ujuzi wa uhandisi, lakini sijawahi kuona lami ikimwagiliwa maji baada ya kuwekwa. Nimewahi kuona wanamwagilia maji kabla ya kuweka lami nafikiri ni kwa ajili ya kushindilia vizuri kifusi kinachowekwa nk.
Kutembea ni kujifunza mengi, kwa hili sijui kama nimejifunza au nimepotoshwa :-(
Nawatakia mapumziko mema ya wikiendi.

Saturday, 27 March 2010

Multi-digits Chinese Boy Operated Successfully

6 years old Chinese boy with 16 toes and 15 fingers has been operted successfully by removing 11 extra digits.
This boy was born with several extra digits which has been causing some problems on his daily activities.
The radiological examination which was done to him revealed that almost all the digits were fully developed and each digit had an appropriate bone inside.
He had to wear larger shoes for comfort during walking as his size could not fit well
Some children were making fun of his toes, therefore troubling him.

Photos and more details from Blogg Falls

Thursday, 25 March 2010

Siasa za Bongo!!!

Jamani wabongo...

Ebu fikirieni mambo ya maendeleo kwa kuyatengea pesa za kutosha
Maendeleo yenu bado yapo mkiani, tena kwenye ncha ya mkia

Sasa matumizi makubwa yasiyo na ulazima ya nini?

Mmependekeza kampeni ya urais itengewe sh bilioni 5, yaani 5,000,000,000

Msajili wa vyama alipendekeza isizidi bilioni 1, nyie mmeona hana maana.
Za wabunge hatusemi, mnang'ang'ania kuongeza majimbo! Hiyo ni kwa faida ya nani?

Huduma za afya, usafiri, elimu, matunzo kwa wazee mnasema hamna pesa.

Nyie mmelaani au mmelaaniwa!!!

Wednesday, 24 March 2010

She want to be The Fattest Woman Ever Seen in This World!!

Donna Simpson on above and below pictures, she is striving hard to hold Guiness Book of world records as the fattest woman ever seen in this world!!!!
By now she weighs 600 pounds.
She can eat about 25 pizzas in one meal or other food. She spends about $ 750 a week on food to keep her body growing.
By now she can hardly walk, she has to use special motorised devise - Bariatric scooter to move around and doing her shopping.

Simpson is trying to beat Leanne Salt (pictured below) record, however they differ in terms of the cause of increased body weight. While simpson eat deliberately fattening food, Leanne, she is suffering from medical condition called hypothyroidism.
Leane Salt who gave birth to triplets following caesaren section to whom her operation was assisted by 68 medics team

The staff needed for the birth included
  • 5 nurse midwives,
  • 4 surgeons
  • 12 neonatal consultants, registrars and nurses.
    4 anaesthetists were needed to administer an epidural to numb the lower half of her body because a general anaesthetic could have killed her.
    2 gynaecology oncologists were on hand for their skills in life-or-death surgery, even though there was no suggestion of cancer.
    And the delivery couldn't take place until SIX workshop specialists had built a special operating table reinforced with steel rods to support Leanne's enormous body.
Photo: Leanne at the age of 10 years
Leane Salt who started to put on weight in her teen due to hypotyhroidism has separated from her boy friend following a battle for loosing weight after delivery.
Watu wengine bwana, mh!!!





Tuesday, 23 March 2010

Bahrain Flashback


This photo I took at Manama, the capital city of Bahrain in the international conference I attended (Middle East African Council of Ophthalmology) last year.
This was a retinal subspeciality hall.
It was interesting meeting for many things.....
Usishangae kuona zimepigwa kutoka nyuma, maana hata kwa mbele ilikuwa taabu kuona sura za baadhi ya watu.

Monday, 22 March 2010

Kwa Kenya: Ni Mzaha Tu

Baada ya Kenya kutangaza rasmi sheria ya kuzuia kuvuta sigara hadharani. Halmashauri za miji ziliambiwa kutoa matangazo kwa wananchi kuhusiana na sheria hiyo mpya ili wananchi wazifahamu, kwani kuivunja kutapelekea kushtakiwa mahakamani.

Kila mji uliandika matangangazo kama ifuatavyo:

Mombasa
Uvutaji wa sigara umepigwa marufuku kuanzia leo.Watakaopatikana wakikiuka amri hii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria. Nyote zingatieni.

Kiambu:
Wanyuanji wa thigara washunge sana . Unyuanji wa thigara bere ya watu hata huko ije umefigwa marufuku na kaju kuanjia reo.

Machakos:Wavulutanji tusikala wasunge sana . Sasa kuvuluta tusikala ni maluvuku na kanzu ya Masaku itawasukulia atua kuvwa sana.

Kisumu:Atenson Plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa marofuku. Okipaatwa, ibiro yie Kodiaga! Apana furuta Plis!!

Wajir:
Habana iko buruta sigara. Yeye lishapigwa marufuk na sisi tagaamata mutu bahala yaghe kiburuta.

Kericho:
Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara sisi nagshagataasa. Haguna!! Charipu wee taona!!!

Kisii and Nyamira:
Akuna kukunywa sigara hapa ndani na inche kuansia reo. Mutakaobatikana mutakura kiboko saa hiyo hiyo. Wote munaombua kujiatari sana.

Kakamega:
Hakuneko kufuruteko sikara hapa ntani kudoka leo. Ukipatikaneko ukifurutako sikara udafundishekwho atapu kali na utaoneko djamdemaguni!

Miji mingine watendaji walikuwa wameenda kwenye kozi ya kiswahili, kwani matangazo ya awali yaliandikwa kwa lugha za wenyeji, hivyo yakashindwa kuhakikiwa na mabaraza ya miji hiyo, na kwa hasira wakawaambia waende kujifunza kiswahili!:-(

Namshukuru Mdau kwa kunipatia habari hii.