Member of EVRS

Saturday, 30 January 2010

Posts Alterations!

I had some problems from network provider, this made my posts to be inconsistent.

I might be out again because I am travelling. On any active spot I will surface as usual.
Sorry for this disappointment!

Keep in touch and I wish you a lovely weekend

Friday, 29 January 2010

Wanaume: Tunajali Sana! (Men: We Care a Lot!)


Yaani, basi tu.......
Have a nice Friday!!

Thursday, 28 January 2010

Nigeria lost to Ghana in African cup Championship Tournament


Timu ya Taifa ya Nigeria, Super Eagles imepata kipigo cha bao 1 - 0 kutoka kwa timu ya Ghana, Black Stars kwenye mchezo ambao Nigeria ilicheza vizuri zaidi kuliko Ghana.
Goli pekee la Ghana lilifungwa na Gyan kwa kichwa kufuatia mpira wa kona.

Lakini siku ya nyani kufa ..... Nigeria itabidi wajilaumu wenyewe, kama jinsi Zambia walivyojilaumu walipotolewa na Nigeria kwenye robo fainali.

Tuesday, 26 January 2010

Dont Make Yourself Idiot. Think First......

Today, I remembered events which made me laughs out of anger!!

15 years ago when mobile phones were not popular in my locality I went to one of the famous telephone company to report frequent cut on my land line telephone.
I was tired to fill request forms and I had to be open on my critics.
The officer was very keen and asked me my number. I gave him with nasty look and he recorded it.

With sympathy and concern, he promised to call me when he had a technician available!!

I was looking for an imaginary hammer to fix the lost nut in his brain, that made me laugh at him. He was puzzled by my immediate change of mood. I will not say what I curse him in my brain



This also remind me back in school in one of the rainy days where our class teacher asked us to leave the classroom during the break time and locked himself in the class. I was bitter because I wanted to stay in the classroom to chew my nice bun I kept from home and read a religious book I borrowed from my neighbour at home.

After the break, we went back and found our teacher still locked himself while marking some scripts. He came to open the door for us, but he did not produce the key, and he asked us if anybody has taken the key!!!
We end up with loud whispering, it look like ..... were saying IDIOT, but I could not get it well, because I was smilling!

Monday, 25 January 2010

Ethiopian Jet Crashed


Ethiopian jet bound from Beirut - Lebanon to Addis Ababa - Ethiopia crashed shortly after taking off from Beirut airport early hours of morning today.
It took around 5 minutes after taking off before plunged into Meditteranean sea about 3.5 KM from the coastal line.
Some aircraft wreckage has been seen at the site of a crash.
It is said that the aircraft had 83 passengers and 7 crews, and about 7 people have been rescued alive.
Rescue operation is still going on.
So far, no important clues for this tragedy has been reported.
Source: Al Jazeera

Friday, 22 January 2010

Bujumbura at a Glance

Bujumbura, the capital city of Burundi, is rather small, cheaper and peaceful.
Ukiondoa Miji ya Tanzania na Mombasa, Bujumbura ni mji unaofuatia kwa kuongea kiswahili zaidi kuliko miji mingine mingi ya Afrika Mashariki.
Kiingereza ni nadra kukuta watu wakiongea, ila kifaransa kina mizizi zaidi, si ajabu kukutana na wafanyabiashara wanao ongea kiswahili, lakini pale unapotaka kulipa wakakutajia kiasi cha pesa za kulipa kwa kifaransa, wakishindwa kutamka kwa kiswahili hizo namba, na hasa wakijua umetoka Tz, inakuwa taabu, maana wamezoea namba zinazotamkwa ki-Congo, kama thelathini itatamkwa makumi tatu, sabini watasema makumi saba.

Mbali ya barabara za katikati ya mji kuwa safi, lakini hazina taa, utakuta milingoti ya taa imejaa, lakini yote haina taa kama baranara hii maarufu ya UPRONA ambako kuna ofisi kadhaa za ubalozi haina hata taa moja ya barabarani


Kuna majengo machache mapya, na mengine yanaendelea kujengwa.
Maisha ya Bujumbura ni nafuu kidogo ukilinganisha na Kigali - Rwanda. Kwa wastani gharama za maisha Bujumbura ni kama nusu hivi ya Kigali.
Hoteli nzuri zipo, lakini sio nyingi sana.
Niliyoipenda sana ni Lake Tanganyika Hotel (Hotel Club du Lac Tanganyika)


Ipo mwambao wa Ziwa Tanganyika, ina mandhari nzuri na pwani safi yenye mchanga mweupe. Milima ya Congo inaonekana kwa mbali kwenye ng'ambo ya pili.
Kama kawaida wapenzi wa samaki hapo tulifaidi hasa. Nilijipatia samak aitwaye Captain, sikuwahi kumuona kabla!
Ziwa Tanganyika ambalo sehemu kubwa lipo Tanzania, ni ziwa linalosifika kwa kuwa ni moja ya maziwa yenye kina kirefu duniani, pia ndio refu kuliko yote duniani likiwa na urefu wa karibu km 600, na pia linasemekana lina hifadhi maji kiasi cha wastani wa 15% (1/6)ya maji baridi (fresh water) yote duniani. Pia ndilo hasa chimbuko la mto Nile.
Pia niliduwaa kidogo kukuta matangazo ya vivutio vya Tanzania ambapo wanao utaratibu wa kuwaleta wageni kutembelea mbuga za wanyama na vivutio vingine vya Tanzania.
Wabongo mpoooo. Mpaka mtangaziwe eeeh!
Enjoy your weekend!!!



Tafakari ya Wikiendi



Wakati wa sikukuu za Krismas, mimi na familia yangu tulienda kupumzika Laki Kivu Serena Hotel. Nitatoa picha za mandhari nzuri ya huko baadaye.

Huwa mimi ni mpenzi wa kuangalia michoro au sanaa zozote kwa kuzitafakari.

Key holder hii ilinichukulia muda wangu kuitafakari, na niliweza kupata mapumziko ya fikara nyingine za kazi na uchovu kwa kukaa naitafakari hii sanamu ya huyu nyani wa milimani (mountain gorilla).

Nakupa nawe tafakari ya wikiendi.

Thursday, 21 January 2010

USA: Made the Haiti Quake?!

I receive a circulating email, probably originate from one of Middle East countries claiming that the Haiti quake is a man made activities.

They accuse USA to be behind it. They further claim that this was one of the major failure in weapon testing which was intended to attack Iran!

They gave a lot of evidences regarding some previous quakes which were man-made, they further claims that those man made quakes caused serious disasters!

If you are interested in controversies read this article here