Monday, 21 February 2011

TANZIA

Umoja wa watanzania wanaoishi Rwanda (UTARWA) Unatoa taarifa ya masikitiko kwa Watanzania wote ya  kuwa ndugu yetu Kitila Mkumbo amefiwa na Kaka yake mkubwa (wa kwanza katika familia) huko Dar-es-Salaam. Mwili wa marehemu utapelekwa Singida kwa Mazishi.
  
Mwanafamilia mwenzetu Kitila Mkumbo ameondoka leo mchana kuelekea Singida tayari kwa shughuli za maziko. 
  
Tafadhali tuwakumbuke familia ya Kitila katika wakati mgumu walionao.

  
Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya marehemu pema peponi. Amen.

4 comments: