- Utawala Bora - Mathias Chikawe
- Mahusiano na Uratibu - Stephen Wassira
- Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
Ofisi ya Makamu wa Rais
- Muungano - Samia Suluhu
- Mazingira - Dr. Terezya Luoga Hovisa
- Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi
- Uwekezaji na Uwezeshaji Dr. Mary Nagu
- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) George Mkuchika
Wizara ya Fedha - Mustapha Mkulo
Naibu Gregory Teu na Pereira Ame Silima
Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi Shamsi Vuai Nahodha
Naibu - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
Wizara ya Katiba na Sheria - Celina Kombani
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa - Bernard Membe
Naibu Mahadhi Juma Mahadhi
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk Hussein Ali Mwinyi
Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi - Dr. Mathayo David Mathayo
Naibu - Benedict Ole Nangoro
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia - Prof. Makame Mnyaa Mbarawa
Naibu - Charles Kitwanga
Naibu - Goodluck Ole Madeye
Naibu - Adam Kigoma Malima
Wizara ya Ujenzi - Dr. John Pombe Magufuli
Naibu - Dr. Harrison Mwakyembe
Naibu - Athumani Mfutakamba
Naibu - Lazaro Nyalandu
Naibu - Philipo Mulugo
Naibu - Dr. Lucy Nkya
Naibu - Makongoro Mahanga
Naibu - Umi Ali Mwalimu
Naibu - Dr. Fenella Mukangara
Naibu - Dr. Abdallah Juma Abdallah
Naibu - Christopher Chiza
Naibu - Eng. Gerson Lwinge
Habari kutoka Ikulu Mawasiliano
kuna wengine hapo safi saaaana kama wizara ya ujenzi....ila hiyo inayohusika na mambo ya tanesco.....ya ya ya yaaaaaaa
ReplyDeleteFadhy, ha ha haaa, naungana nawe kabisa
ReplyDeleteMmmh!
ReplyDeleteNje ya topiki:
Neno la word verification nilioikuta hapa leo.. ni kasheshe.
Mkuu Kitururu, neno hilo lipo wapi? Kama ni google translator ina vituko, unaweza kucheka mpaka mbavu zikauma
ReplyDelete