![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYg6c14z3vM_Djx9ocDZc8pVODZMFA5INaebNc5Imugb1U68H3uyryjiotmUoxjo2nCjhyoy41_OIwog0jBBmxNIrqYL7bFmcEq67AWLydMEN9pd43HAOfARWpKI6Yv4zAxhF_K1H4O08/s280/Mv-liemba.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjHyQBlBWKzZVViYSMAUgRkVCk1huiTAMqL6-hs6SFpN6O0TC3dtrnNiIoy7Qf-AMQ7VZNMeUTkqRm4Nhu7S69RTc87Gunx5aRErfMX9IsqokMoLeJ7rxrBgSkAWDfSGhgNyGx5U5-22rM/s280/mv_liemba.jpg)
Just a hoot after anchoring....... in few minutes you will be surrounded by small boats. There is no ladder to board in or out!!
Tabu, ni kuwa hakuna ngazi, ni shughuli ya kukwea tu, kama hujui shauri yako
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8d0jem-DUOdgxe7Jx-mvWVH7ggxAHNv_Nvt3Czquw0zo0c_jtKK1doquZRsSYMicAEDjjgXNTK8NzkZ6pEIi9V9zxmUwlp74w6sHzkx1cZ_u5DmzZwLcrjKpCcwGR0w8GO63v0MApiVk/s280/kupanda+meli.jpg)
Watu wanakwea, mizigo mikubwa kama magunia yanapandishwa kwa crane, na njiani watu wananunua mchele, kuku walio hai nk, bila kusahau na miwa. Kwa sababu safari ni ndefu, basi miwa huwa burudani tosha kwa wasafiri
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgifQ2rvECrzo7btD7kmM5Qjw2mZlNDU_KfzrhEOE_Xr8QYf_OUbbEDsAoKDyZb9IAU9AhLmFtYPR06bRrXUJX1fTpbdk4tkNP64QyPqI7hrZ75pKxZr4i9JVBvBsiwyk_W0AxcYc1lIkk/s280/Kujichana+miwa.jpg)
Usiniulize maganda wanatupa wapi, wanawashinda hata watu wa kariakoo kwa usafi. Yankusanywa kwenye nguo, halafu hayooo ziwani.....
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhZKJE0cj7tRmYQ_f2ZulpgZJNMUkEvU5kAlkVVXRiW_k81CoKMasE_MLUKuaZKEgJhM7FrYZmXLpvEaI0kQxWXxVHbP3YL-RbGnL5dFZYdsLXYd-Qyx3-CxK3M37Xkq7P0cwfLc24zetM/s280/mitumbwi+ubavuni.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj8d0jem-DUOdgxe7Jx-mvWVH7ggxAHNv_Nvt3Czquw0zo0c_jtKK1doquZRsSYMicAEDjjgXNTK8NzkZ6pEIi9V9zxmUwlp74w6sHzkx1cZ_u5DmzZwLcrjKpCcwGR0w8GO63v0MApiVk/s280/kupanda+meli.jpg)
Watu wanakwea, mizigo mikubwa kama magunia yanapandishwa kwa crane, na njiani watu wananunua mchele, kuku walio hai nk, bila kusahau na miwa. Kwa sababu safari ni ndefu, basi miwa huwa burudani tosha kwa wasafiri
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgifQ2rvECrzo7btD7kmM5Qjw2mZlNDU_KfzrhEOE_Xr8QYf_OUbbEDsAoKDyZb9IAU9AhLmFtYPR06bRrXUJX1fTpbdk4tkNP64QyPqI7hrZ75pKxZr4i9JVBvBsiwyk_W0AxcYc1lIkk/s280/Kujichana+miwa.jpg)
Usiniulize maganda wanatupa wapi, wanawashinda hata watu wa kariakoo kwa usafi. Yankusanywa kwenye nguo, halafu hayooo ziwani.....
Uongozi wa meli hiyo umelalamika ya kuwa kuendelea kutumia meli hiyo bila matengenezo, ambapo kwa sasa imechakaa ni hatari kwa maisha ya binadamu, na walimwomba balozi wa ujerumani kufanya fanya serikali yake igharimie matengenezo au kujenga meli mpya. Na ikibidi hii meli iwekwe kama kivutio cha watalii.
Kazi ipo, yaani mpaka tuombe watu wa nje....... Tunaombea tu isijetokea MV Bukoba nyingine....
Enjoy your trip, japo kwa macho na kusoma :-)
Kwa mtindo huo, hapo hakuna cha ladies first, bila kupenda hapo ni ladies last kupanda na ladiest first kushuka. Labda kama kuna mtu kavaa jeanz. Maana yake darubini ya ze komedi!
ReplyDeleteThanks for visiting Creativity and imagination of Jose Ramon and photos for your feedback. You have a very interesting blogs. Regards
ReplyDeleteMay there always be two hands full of water benath that ship.
ReplyDeletePlease have a wonderful Wednesday.
Its wonderfully,
ReplyDeleteHii imenikumbusha mwaka 2003 nilifika Pangani kwa kweli kivuko chapale nacho kilikuwa spana mkononi.
Sina uhakika kama walishakitengeneza.
ziwa vctoria kuna mimeli ya ajabu pia. na inasemekana meli hiyo ilizamishwa na kukaa chini ya maji (au ndani) kwa miaka kadhaa baadaye ikaibuliwa.
ReplyDeleteziwa vctoria kuna mimeli ya ajabu pia. na inasemekana meli hiyo ilizamishwa na kukaa chini ya maji (au ndani) kwa miaka kadhaa baadaye ikaibuliwa.
ReplyDeleteMV Bukoba inanukia hapo!:-(
ReplyDeleteHii meli ilitakiwa iwe inaenziwa kihistoria tu sasa.
Mungu aepushie mbali.
ReplyDeleteIla nitafanya mpango nizuru meli hiyo.
Tatizo ni kuwa hatujui lini mwisho wa kutumia haya madubwana tununuayo
ReplyDeleteNilioneshwa mwaka kwenye Mv Victoria na japo siukumbuki lakini naamini ulikuwa kwenye miaka ya mwanzo ya 40.
Mimi sijui tunaelekea wapi? Na sijui hawa watu wanapopata vitu kama hivi vivuko huwa wanatenga pesa yoyote kwa ajili ya matengenezo na manunuzi ya mpya?
Tuna wataalamu lakini hawawezi kujua price depreciation ya meli kama hii?
Wakati mwingine huwa NASHIBA NJAA na hii ni njaa ya hatari ninayoelekea kuishiba
I think, that you are not right. I can prove it. Write to me in PM, we will communicate.
ReplyDeleteI am sorry, that has interfered... But this theme is very close to me. Write in PM.
ReplyDelete