Natumaini Mama kaongeza siku kwa salamu zote hizi. Nawashukuru wote kwa kuungana nasi. Kaka Fadhy, shukrani kwa shairi lako. Itabidi mama aanze ku-blog ili naye apate vionjo vya blog. :-)
habari hazizeeki kwa anayeipata sasa na mimi kwa falsafa hiyohiyo salamu zangu za pongezi hazijazeeka ingawaje nimetoa kwa kuchelewa. chelewa ufike. hongera mama.
swali: hivi 'hadubini my-o-scope' maana yake nini?
Hongera mama
ReplyDeleteHongera sana mama Mungu akuzidishie afya njema
ReplyDeletenamtakia maisha marefu na afya njema.
ReplyDeleteHongera sana mama,
ReplyDeleteWewe ni kitu chema,
Kumleta Chib mwema,
Ahsante twakupatia.
Chib rafiki yetu,
Tena kajaa utu,
Mpiganaji miongoni mwetu,
Ambaye twajivunia.
Mama tukulipe nini?
Kufikia yako thamani,
Hakuna kitu duniani,
Thamani kukufikia.
Mungu na akujalie,
Maisha uyafurahie,
Miaki mingi ufikie,
Katika hii dunia.
Cngrats!
ReplyDeleteHongera kwa Mama mzaa chema!
ReplyDeleteHongera mama!
ReplyDeleteNatumaini Mama kaongeza siku kwa salamu zote hizi.
ReplyDeleteNawashukuru wote kwa kuungana nasi.
Kaka Fadhy, shukrani kwa shairi lako. Itabidi mama aanze ku-blog ili naye apate vionjo vya blog. :-)
habari hazizeeki kwa anayeipata sasa na mimi kwa falsafa hiyohiyo salamu zangu za pongezi hazijazeeka ingawaje nimetoa kwa kuchelewa. chelewa ufike. hongera mama.
ReplyDeleteswali: hivi 'hadubini my-o-scope' maana yake nini?
Dukuduku langu lipo hapo hapo alipogusia Mwaipopo!
ReplyDeleteHata na mimi ndio dukuduku langu lipo hapo alipogusia Mwaipopo!!
ReplyDeleteHongera mama.
ReplyDeleteHongera Mama !
ReplyDelete- ingawa nimechelewa kutoa hongera HASA kwa kujihami kuwa nimechelewa kutoa hongera.!