Naomba contact za Mainga. Kuna "wanaotembeza" UKIMWI kwa makusudi ambao hii ingekuwa "dawa" tosha kwao. Shenzi zao. Tena Serikali ingestahili kumlipa ili awasaidie kufunga nyeti za wale wanaosambaza UKIMWI kwa makusudi. Lol Ila hii kali. Ningependa kuona "maigizo" yake mahakamani.
Very interesting!!!
ReplyDeleteMmmh!
ReplyDeleteHuyu jamaa hajui tu lakini hii dawa ingeweza kumfanya awe milionea!:-)
:-)
ReplyDeletePia angeweza kukomesha UKIMWI!!!
ReplyDelete:-)
ReplyDeletemaweeeeeeee
ReplyDeletejust by magic...I wish it was possible the other round...I mean a woman does it to a man and then...ok I say no more but this is very interesting
ReplyDeleteNaomba contact za Mainga.
ReplyDeleteKuna "wanaotembeza" UKIMWI kwa makusudi ambao hii ingekuwa "dawa" tosha kwao.
Shenzi zao.
Tena Serikali ingestahili kumlipa ili awasaidie kufunga nyeti za wale wanaosambaza UKIMWI kwa makusudi. Lol
Ila hii kali. Ningependa kuona "maigizo" yake mahakamani.
Mzee wa changamoto, nitakutafutia kontakt za jamaa
ReplyDelete