tag:blogger.com,1999:blog-8848699613289023034.post2405302371178404106..comments2023-11-03T15:02:32.204+03:00Comments on Hadubini - My-o-scope: Michael Jackson: Finally to be burried todaychibhttp://www.blogger.com/profile/14601803334608365440noreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-8848699613289023034.post-48667851111478942292009-09-04T15:22:07.030+03:002009-09-04T15:22:07.030+03:00Mazishi ya namna hiyo, ni tatizo la umaarufu.
Yasi...Mazishi ya namna hiyo, ni tatizo la umaarufu.<br />Yasinta..... Sijui kama mumeo atakubali!chibhttps://www.blogger.com/profile/14601803334608365440noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8848699613289023034.post-88980531801405844122009-09-03T15:59:47.950+03:002009-09-03T15:59:47.950+03:00Mi nitapenda wanivirigie kwenye mkeka. na hizo pes...Mi nitapenda wanivirigie kwenye mkeka. na hizo pesa wazitumia waliobaki:-)Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-8848699613289023034.post-69339857460527213702009-09-03T13:02:42.464+03:002009-09-03T13:02:42.464+03:00Hapo inaonyesha kuna wengi ambao wameingilia kuzui...Hapo inaonyesha kuna wengi ambao wameingilia kuzuia amri ya Mungu [kama unaamini biblia] ya umeumbwa kwa udongo na utarudi kwenye udongo itimie.<br /><br /> Nasema hivyo kwa kuwa sidhani kama jeneza la dollar elfu ishirini litaruhusu kirahisi kuachia mwili ugeuke udongo kama iaminikavyo inabidi tukifa tugeuke kurudi kuwa udongo kibiblia.<br /><br /> Na Kaburi lenyewe linaweza likawa limejengewa mpaka udongo wenyewe labda unajisemea kisiri wakati umelizunguka kaburi lililojengewa:''kunyemelea maiti hii ijiunge nasi noma hapa kweli uwigo mkubwa na geti kali!:-(''Simon Kitururuhttps://www.blogger.com/profile/08443099916542057958noreply@blogger.com