Member of EVRS

Tuesday 30 March 2010

Hatimaye....

After very long trips, at last I am at motherland.

I am still organising myself, and soon tutaonana through posts.

Nawashukuru watani wangu na wasomaji wangu, nimepitia ushauri na mawazo yenu, mengi yamenifurahisha na kunichekekesha.

Natumaini wengine tutaonana very soon.

Ila joto la Lukuvi, wacha tu!!!

4 comments:

Anya said...

Home sweet home :))))
Take your time to relax !!!!!

(@^.^@)

Simon Kitururu said...

Kila la kheri!

Mzee wa Changamoto said...

Enjoy Brother

Yasinta Ngonyani said...

uwe na wakati mzuri na PASAKA NJEMA SANA.