Member of EVRS

Monday 30 November 2009

Rwanda: Newest Commonwealth Member


Rwanda has been granted Commonwealth membership.

This was announced in the Commonwealth summit at Trinidad and Tobago.

It is the greatest achievement to Rwanda which has been transformed from Francophone to Anglophone in all sectors including education.

Rwanda will enjoy all the benefits of commonwealth countries, which currently there are 54 members, but 2 have been suspended for "political issues", from Africa the suspended country is Zimbabwe.

I do hope from this membership, probably Rwanda will change the driving system and allows right hand drive cars so that wananchi will benefit from relatively cheap cars rather than left hand drive cars which are expensive even when you buy kamtumba.

Saturday 28 November 2009

Ulevi huu.... Haufai Kabisa




Kuna mlevi mmoja alitoka kwenye sherehe ya kumkaribisha bosi wao mpya ambayo iliisha kwenye muda waa saa 4 usiku. Kwa kuwa kulikuwa na pombe za bure, alizifakamia kwa spidi ya Usain Bolt, na mara akawa taabani.

Baada ya sherehe kufungwa, waliondoka, na yeye kuona bado ni saa 4 tu, akajishauri kupitia baa ya kijiweni ili kufukuzia harufu kabla ya kwenda nyumbani.

Kwa mtazamo wake, alipofika kwenye "baa" yake maarufu alijitoma ndani na kukaa kwenye kiti saafi, na kumwagiza mtu aliyemuona kama muhudumu kwa kejeli na t's*

Mlevi: kilimanjaro baridi haraka wee @O*'\".

Muhudumu huku akicheka kwa kejeli akaenda kumchukulia maji ya kilimanjaro.

Huku nyuma, akabaki binti wa miaka 15 hivi, na mlevi akarusha neno....

Binti akamshangaa, na kuondoka karibu yake.

Mlevi kuona anakosa alichotaka .... akamwamwambia huyo binti

Mlevi: Ati we binti unanikimbia, hujui ya kuwa jana tu nimelala na mama yako

Mara "muhudumu" akarudi na maji, na mlevi akawa anajiandaa kuporomosha tusi kwa kuletewa maji badala ya bia, lakini kabla hajafunua domo lake.... mhudumu alishasikia yote kwa bayana kauli ya huyo mlevi. Akamwamuru Mlevi, tafadhali Baba Pasua, naona umelewa sana, ingia chumbani ukalale. Mambo mengine tutaongea kesho.

Mlevi kwa ghafla akahisi kama kapigwa na radi vile......

Kwa ufupi, Mlevi hakuwa baa kama ulevi ulivyomdanganya, alikuwa amefika nyumbani kwake. Muhudumu ni mkewe na binti ni mwanaye.

Tafakari ujumbe huu, na nakutakia weekend njema

Thursday 26 November 2009

Always Look Careful on Microsoft Prompt Messages!



Cancel and abort!


Sensible, umh!! It is an erro report, therefore should be reported in error too au vp!



Not clear ough!!



Cross your fingers, ha hah haaaa

Wednesday 25 November 2009

Historia ya Kutisha ya Bermuda Triangle


Kwa wale wanaopenda kujua matukio mbalimbali, basi watakuwa wanaifahamu vyema historia ya bermuda triangle.

Tangu mwaka 1945, zaidi ya meli 100 zimeshazama na vifo vya watu zaidi ya 1,000 vimeshatokea katika eneo hili ambalo ni maarufu sana kwa vyombo vya safari kupita. Pia ni eneo ambalo linasifika sana kwa kubadilika kwa hali ya hewa kwa haraka na bila kutarajiwa.

Matukio mengi yalitokea katika kipindi cha miaka ya 1940 - 1960, nayo yalihusu upoteaji wa kiajabu wa vyombo vya usafiri hasa ndege na meli.

Mwaka 1944, Dick Stern alikuwa anaruka na ndege ya kivita eneo hili, ghafla ilipoteza uelekea kwa muda na ikawa inaelekea kuanguka Bahari ya Atlantiki, lakin baadaye iliweza kutulia yeneyewe na kuendelea na safari vizuri. Na katika miaka ya 60 alipita tena eneo hilo akiwa na mkewe katika ndege ya kawaida wakapata msukosuko mkubwa.

Kwenye miaka ya 1945, 1958, 1964 na 1967 kuna ndege zilipotea tena katika eneo hilo ambapo mabaki yake hayakuweza kupatikana kabisa. Kuna baadhi ya marubani ambao waliwahi kuripoti kabla ya kupotea au kuokoka kwamba rada zao zilikupoteza uelekeo na kiasi kwamba wakashindwa kujua wako wapi, kuna mmoja aliripoti kuongezeka kwa kasi ya kwenda kwa ndege na kila kitu kikapoteza control, na baadaye vikarudi sawasawa.


Pia kuna rubani mmoja wa ndege ndogo alitaka kutua eneo hilo, lakini alipofika sehemu aliyotaka kutua, hakuiona ilhali watu waliokuwa chini walikuwa wanamuona na kumshangaa akizunguka tu hewani na kisha kuondoka. Baadaye alikiri kuzunguka juu baada ya kutokuona sehemu aliyotaka kutua wakati compass yake ilimuonyesha ameshafika.


Meli amabazo zimekumbwa na misuko sehemu hiyo zimekuwa zikiripotiwa kukutana na mvutano wa ajabu wa kwenda chini na mwishowe kuzama, au kukutana na machafuko ya bahari ya ghafla.

Kuna baadhi ya wafanyakazi wa meli walio okolewa waligeuka na kuwa vichaa!

Kituko cha funga dimba ni kile kilichoripotiwa mwaka 1967 kutoka kwa watu waliokuwa kwenye meli ya Elizabeth I pale waliposhuhudia ndege ndogo ikiwa mita chache kutoka walipo ikipotea ghafla ikiwa inaruka!!!!

Chungulia hapa usome zaidi


Monday 23 November 2009

Violence against Women! Itaisha lini?



Violence against women and children is like a rodent ulcer.......

In any war, those who suffers most are same people, who never involved in initiating those wars....



Even their special days like wedding can be ruined.....



It is time to be ready now.... for anything....




Picha: kutoka Ouhe!

Peru:Watu Wakamatwa kwa Kuuza Mafuta ya Binadamu


Photo: Peruvian police seized containers which was proven to contain human fat extracts

Wakati Tanzania tukiwa tunapigia kelele mauaji ya albino kwa kile wajinga wanachodai ni kupata utajiri wa haraka haraka kwa matambiko kibudu ya kupata bahati na mafanikio katika biashara, kwa wenzetu huko Peru wanaua watu, na kuwakata mikono, miguu na vichwa, kisha kuvining'iniza viungo hivyo na kuwasha mishumaa chini yake, na kutokana na joto la mishumaa hiyo, mafuta huyeyuka na kuchuruzika kwenye vyombo walivyotegesha chini na kisha kuuza lita moja kwa dola 15,000.

Mafuta hayo hutumika kama kipodozi kwa kuondoa mikunjo ya usoni a.k.a ndita za uzeeni (facial wrinkles) kwa wale wasiotaka kuonekana wazee hasa akina mama. Daktari mmoja wa ngozi aliyebobea katika matibabu hayo, amesema huwa wanatoa mafuta hayo kwa mgonjwa mwenyewe hasa sehemu ya takoni au tumboni, kwani kuchukua mafuta ya mtu mwingine kunaweza kuleta mzio (allergy) mbaya na inaweza kusababisha kifo kwa baadhi ya watu.

Mmoja wa watuhumiwa aliyekamatwa amesema amekuwa akifanya kazi hiyo ya kuua watu ili kupata mafuta ya binadamu kwa zaidi ya miaka 30. Na kwa mwaka huu karibuni watu wapatao 60 wamepotea kiaina.

Kwa habari zaidi au kwa kimombo for more information read here

Mungu yupo wapi?

Hivi Jumapili ni lazima uende kusali kanisani?

Mbona wanadai Mungu yupo kila mahali, sasa kwa nini uende kanisani?

Au huko kanisani ni mahali pa kuonyeshana mitindo ya mavazi, maana karibu kila mtu anakuwa nadhifu. Na ndipo Mungu humchagua mtu atakayepaa mbinguni siku yake ya kufa itakapowadia?!

Hiyo ndio changamoto niliyokutana nayo leo kwa mtoto wa miaka 10, aliyenikuta nimepumzika nyumbani, kwani hakuniona kwenye ibada ya leo.... anataka aelimishwe.

Nasema, jumapili njema, pia kama wewe ni muumini unayesali jumapili, jiulize huko kanisani unaenda au ulienda kufanya nini, isije kuwa mtoto alikuwa anasema ukweli. Maana kuna watu wanajikwatua........

Friday 20 November 2009

When Football Turns Into Political Arena


Photo above: Chaotic ticket selling at Egyptian embassy in Khartoum
The match between Algeria and Egypt in Sudan to decide which team should qualify for FIFA world cup in South Africa 2010 has turn to be a political arena after Algerian side won the match.

It was reported that some Egyptian fans were beaten in Sudan which President Hosni Mubarak was angered by this fracas and ordered his ambassador to Algeria to come back home, at the same time Sudan was blamed for not protecting Egyptian fans adequately where Sudan government reacted ironically by saying Egyptian government is not fair as Sudan was given short notes to get prepared for the replay match, and that there were more than 25,000 Egyptian fans who went in Sudan to watch that match.

Meanwhile, FIFA has said will open disciplinary charges against Egyptian football association for indiscent behaviour to Algerian team in which occured in Egypt, when Algerian team arrived, which affected Algerian players where some of them were hurt.




At the same time, Irish head of state has also complained to FIFA and requests the match between France and Ireland to be replayed following Thiery Henry's "frog hand" which touched the ball before giving a swift pass to Gallas who scored the goal that lifted France to World cup in South Africa.
However, FIFA has rejected this request saying that FIFA regulations are clear, and referee decision is final.

Thursday 19 November 2009

Nani Bora!

Namshukuru mdau aliyenitumia hii kumbukumbu

Bofya picha kuona vizuri.

Wednesday 18 November 2009

Attention!!!


Kufikisha ujumbe kwa wagumu!!


Both parties have been pleased!!

Tuesday 17 November 2009

Gaddafi Atoa Mpya Italia

Click red letters below this message for English information

Kiongozi wa Libya Moammar Gadhafi akiwa Rome Italia aliandaa party kwa kuwaalika akina dada zaidi ya 200 wa kitaliano kwenye sherehe ambapo hao akina dada walilipwa kiasi cha USD 75 kuhudhuria sherehe hiyo.

Kampuni moja ya kuandaa warembo ilipewa tenda hiyo na kuwakusanya mabinti hao kwenye hotel iliyopangwa, ingawa kuna baadhi waliachwa kutokana na mavazi yao ambayo yanadaiwa hayakuwa ya heshima, pia kuna baadhi waliachwa kwa sababu walikuwa wafupi!

Badala ya sherehe, Gaddafi alipofika alianza kutoa mhadhara ambao ulichukua kama dakika 45 wa kuwaeleza hao mabinti warembo kuhusu uislamu na mchango wa wanawake katika dini ya kiislamu, pia kuanguka kwa dini ya ukristo na wanawake kugeuzwa watumwa wa mapenzi kwa wanaume kwenye nchi za magharibi, na mwisho kuwataka wabadili dini na kuwa waislamu.
Pia alitoa zawadi ya kitabu kitakatifu cha dini ya kiislam (Quran) na kitabu chake cha maarufu cha kijani kikiwa na semi zake za busara kwa washiriki wote.

Baada ya hapo, Gaddafi alijichanganya mtaani na kuishia kwenye mgahawa wa wazi kupata chochote.

Read more here and here

Sunday 15 November 2009

Swiss Wins U 17 FIFA World Cup

It was a painful moment for Nigerian team to loose the game before its 60,000 fans at the home groung to Swiss when they lost 1 - 0 to Switzerland on final for U 17 World cup championship.

Nigeria predominate the game, they actually equilised the goal but ref. could not see as the area was crowded with players.

Nigerian fans are disappointed

Saturday 14 November 2009

Nigeria Qualifies for World cup

Nigeria battled hard to win 3 - 2 against host Kenya while Tunisia lost 1 - 0 to Mozambique which miraculously favours Nigeria to qualify for 2010 world cup in South Africa from their group.

The game was not easy for Nigeria.

Friday 13 November 2009

Plane accident at Kigali airport


Ndege ndogo ya kampuni ya Rwandair kama inavyoonekana hapo juu, jana ilipata tatizo muda mfupi tu wakati ilipokuwa imepaa kwa tatizo ambalo rubani hakulitambua hivyo kulazimika kushuka.

Wakati akiwa amefika sehemu ya kupaki, aliripoti ya kuwa ndege imekataa kuzimika na kuwa bado injini zina mwendo kasi na hivyo alilazimika kufuata ukingo uliopo katika uwanja wa Kimataifa wa Kigali, lakini aliugonga uzio huo na ndege kupitiliza, na kisha kujigonga katika ukuta wa jengo la airport sehemu ya wageni mashuhuri (VIP lounge) kiasi kwamba sehemu ya mbele ya ndege kuingia katika jengo hilo.

Abiria mmoja amefariki na wengine 10 kujeruhiwa. Wafanyakazi wote wa ndege wapo salama.

Ndege hiyo yenye umri wa miaka 10 ilikuwa ikielekea Entebbe, Uganda

Habari zaidi zinadai ndege hiyo ilifutwa usajili wa kuruka huko USA mwaka 2004, na kuuzwa mwaka 2007.

For more information read here and here

Wednesday 11 November 2009

HIV Virus - Potential Future Curative Engine

French Scientists at University Paris-Descartes have done research using disabled HIV virus by taking its components and combines with blood stem cell to form gene therapy for treatment of various human disorders including lung cancers and brain diseases.

A two year follow up research has shown to be successful by managing to treat successfully very severe brain disorders.
A number of diseases are still on research

Beware, that the active HIV virus kills human being

Tuesday 10 November 2009

Gordon Brown Apologises for his Bad Handwriting


British premier has sent an apology to Mrs Jacqui Janes, mother of Briton soldier who died in Afghan following misspelling the name of the died soldier.


The other problems which were obvious, are very bad handwriting and misspelling of other english words which anger the mother of deceased.
Gordon Brown has a blind eye which he got injury in his youth while playing rugby, it is said that his handwriting is bad due to his poor sight in one eye.
Mimi sijui kama ni kweli au ni kama Rooney tu.

Saturday 7 November 2009

TP Mazembe wins African champions league

TP Mazembe are new African Champions after winning return leg 1-0 against Nigerian Heartland

The first leg in Nigeria, TP Mazembe lost 2-1, therefore they won on advantage of an away goal.

Congratulations TP Mazembe.

Thursday 5 November 2009

Taifa Stars Yafungwa Misri

Mechi ya kirafiki kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania na Misri imemalizika kama dakika 5 zilizopita kwa Tanzania kufungwa mabao 5 - 1

Tanzania ikiwa imevalia jezi nyeupe na michirizi ya njano na kijani, haikuweza kufua dafu kwa ma-pharaoh wa Misri.

Wakati naitizama mechi hiyo, nilifikiri wamewakodi Abajalo FC.

Tunasubiri mechi kati ya Taifa Stars na Yemen sasa

Tanzania: Hatuna Wabunge!


Katika habari iliyonishangaza leo ni pale niliposikia baadhi ya waheshimiwa wabunge wa Bunge tukufu la Tanzania wakipendekeza ya kuwa watoto wa kike wasinyimwe uhuru wa kuolewa wakati wowote wanapojiona wako tayari kwa masuala hayo hata kama wako chini ya miaka 18.

Mbunge mmoja alidiriki kusema ya kuwa utakuta kabinti kazuri ka miaka 16 kapo tayari ....., awali alikuwa amedai watoto wa miaka 14-15 kukataliwa kuolewa ni kunyimwa haki yao ya msingi!!

Na pia... ati si kila mtoto ana mpango wa kuendelea kusoma baada ya kumaliza elimu ya msingi.....

Nawashukuru wale wabunge waliopinga kauli hizi.

Pata habari zaidi HabariLeo

Tuesday 3 November 2009

Kionjesho: Afya ya Macho Yako, Usalama wako

Madereva wa kwetu mara nyingi huwa wanapenda mteremko pale wanapotakiwa kupima macho yao kabla ya kupata leseni mpya ya kuendesha gari.

Sheria zinatakiwa waende kwenye hospitali za serikali waonwe na wataalamu wa macho (Bahati mbaya wataalamu waliopo huko mara nyingi ni wa ngazi ya chini).

Upimaji wa huko hufanyika kiushikaji, unatoa kitu kidogo unajaziwa fomu kwamba unaona mpaka kwa Mungu.
Niliwahi kumshuhudia dereva wa dala dala ambaye uwezo wake wa kuona mbali kwa uzuri ulikuwa ni meta nne (4) tu, hata kama ukimpa kupiga penati, basi hamuoni kipa.
Najua alikasirika sana nilipopiga panga form yake, lakini........

Hakuna anayezingatia usalama utakaofuatia kwa kumpa kibali mtu kipofu kuingia barabarani tena akiendesha gari la abiria....

Napenda kutoa vigezo vichache ambavyo vinapaswa kuzingatiwa
1. Uwezo mzuri wa kuona mbali kulingana na kipimo cha kuona mbali cha kimataifa
2. Uwigo wa kuona, yaani visual field inayokubalika kutokana na gari unaloendesha
3. Uwezo wa kuona rangi tofauti (colour vision), hasa rangi za kijani na nyekundu ambazo kuna baadhi ya watu wanazaliwa na kasoro ambapo rangi hizi hawazioni kabisa kama tunavyoziona sisi. Hii ni muhimu hasa katika zile taa za kuongoza madereva.

Hii ni kwa usalama wako wewe dereva na jamii inayokuzunguka. Kuna upofu unaoweza kuwa nao bila ya wewe kujijua, kwa nini usipimwe kwanza!!
Mambo ya chapchap katika maisha ya watu..... hatukosi kusikia ajali za kutisha...

Enjoy your day!

Monday 2 November 2009

Point for Mental Fatigue Recession!


1 week ago, I went out for healthy retreat in Gisenyi, the border between Rwanda and Congo. I spent some time on this public garden before heading to nowhere...



Sikumbuki hapa nilikuwa nawaza nini.....


The background, blue hills, is Democratic Republic of Congo

.........................


and after a long day walk, I settle at Lake Kivu Serena Hotel, I like fish, ... my order from the menu was .. gimme a fisherman basket. And that is what.... came





At USD 6.00. ...

By the way, Most Serena hotels have reduced their prices for this season by nearly 50% in accomodation fee which includes the breakfast. It will end near the end of the year. Go through their websites for contacts.

I have done my booking anyway!!

Sunday 1 November 2009

Universe, Diverse or Now Triverse?


Sunrise in Afghanistan




Sunset in Rwanda.
Same people, same world, same vital needs, same .....
This story will never end, in fact every thing is different.
We only share the planet.

Brain size: Determinant of intelligence!

For those who like to know facts they will agree that ostrich eye is bigger than its brain, that is why ostrich has been found to hide its head and lost sight of what it try to avoid thinking that by not seeing the unwanted..., then that means the unwanted stuff cannot see it too.
Well, this is because they have smaller brain which makes thinking and judgment to be narrower too.

Human are said to have larger brain than all creatures (don’t forget that women have 25% more brain volume than men) which make integration and synthesising processes of complex tasks and ideas to be possible. Other animals with considerable sizeable brains are dolphins and gorillas. If you follow them very well you will be amazed by their complex thinking and acts.

Few months ago at the red sea, dolphins managed to save the sailing ship from the Somali pirates by swimming around the ship while “flying” throughout the journey across the rum sum passage preventing the pirates to approach the ship, when pirates gave up, the dolphins continue for a while hundreds of miles and when it was safe they left the ship to sail away with no trouble.

Who knows... they might have been observing how pirates are cruel when they caught ships along that dangerous corridor, and they decided to do something to demonstrate that ... we don’t like that.

My question is..... does the human brain now .... Shrinking?

Because .... it seems animals now have much more sense of humour and identity among them within the same species sometimes more than what we do!. Ndiyooo......They protect their young ones, they feed them, they don’t mix sexuality in terms of gender and they know the right age for procreation. Hakuna shoga, basha, msagaji wala mbakaji. Bila kusahau kuvuta kabangi na mihadarati.

Sasa hivi kuna mashirika yanagoma kutoa misaada kwa baadhi ya nchi ati kwa sababu hawawatambui wanaojivinjari kwa jinsia moja. Burundi yaliwakuta mwaka huu....
What is happening to our bigger brains, I am sure wanyama wakituona kwa sasa, huwa wanatikisa vichwa na kutema mate!!
Jumapili njema!!